uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,079
Kuna wanafunzi na watoto wa shule japo shule haizaiKama siyo wanafunzi kwa nini wanatambulika kwa majina ya uwanafunzi mfano; wanafunzi washeria,wanafunzi wa udaktari,N.K.
Neno mwanafunzi linasimama kwa mtu yeyote anaejifunza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app