valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 932
- 959
Wakuu,
Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Kufuatana na hali ya sintofahamu ya wabunge wa upinzani kununuliwa na maccm, ninapendekeza kwa viongozi wa ukawa per se waitishe mkutano wa wabunge wote wa upinzani na waambiwe kuwa kama kuna yoyote katika hao wabunge anataka kujiuzulu, basi wajiuzulu wote kwa pamoja ili serikali yetu tukufu sana ipate kupanga bajeti ya uchaguzi wa marudio iliyonyooka. Sio leo huyu kajiuzuru j3 yule ijumaa. Inaipa tume yetu tukufu shida. Wajiuzuru kwa umoja wao ili serikali ipange bajeti yake ya uchaguzi vizuri.
Hongereni Watanzania kwa demokrasia!
Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Kufuatana na hali ya sintofahamu ya wabunge wa upinzani kununuliwa na maccm, ninapendekeza kwa viongozi wa ukawa per se waitishe mkutano wa wabunge wote wa upinzani na waambiwe kuwa kama kuna yoyote katika hao wabunge anataka kujiuzulu, basi wajiuzulu wote kwa pamoja ili serikali yetu tukufu sana ipate kupanga bajeti ya uchaguzi wa marudio iliyonyooka. Sio leo huyu kajiuzuru j3 yule ijumaa. Inaipa tume yetu tukufu shida. Wajiuzuru kwa umoja wao ili serikali ipange bajeti yake ya uchaguzi vizuri.
Hongereni Watanzania kwa demokrasia!