Hakika hili ndio jambo la msingi sana tunahangaika sana lakini kumbe kuna mahala kuna dawa ya watawala kama hii tukiiweka kuwa ndio ajenda yetu kuu hakika kuna mwanga mwisho wa shimo kama sio mwezi basi jua tuna mengi ya kupigania ikiwa na hili kama tutalifanya ajenda yetu na hakika wenye kuona mbali watakua wameliona na hili ni jambo muhimu sana kwa wakati huu na ujao