barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,586
Kwa nini chama makini wabunge na madiwani wake na viongozi wake wananunulika??
Ktk watu wenye njaa wewe ni mmoja wapo.Vitu vitatu ninavyovichukia zaidi katika huu Ulimwengu:cha kwanza CCM, cha pili CCM,cha tatu CCM.
Hawa watu na lichama lao ndio wametufikisha hapa.
hivi pascali sio lumumba kweli au yeye ni mkabila tu?Majinga ya Lumumba yanaimba hapa kaz tu!!
Wanaonunuliwa na mabeberu na kuingia mikataba mibovu inayoligharimu Taifa ni watu wa chama gani?Kwa nini chama makini wabunge na madiwani wake na viongozi wake wananunulika??
Ina maana unataka kusema tupitishe kipengele ambacho kinasema hata Bakhressa/mengi/manji/dewji akiamua anagombea uchguzi wa raisi kama mgombea binafsi?.
Tanzania ni changa sana kwenye suala zima la demokrasia!..labda naomba unipe mfano wa nchi ambayo inafanya huo uchaguzi wa mgombea binafsi!!..