Sheria ya Uchaguzi imekiukwa kwenye recounts zote

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,174
Sheria ya uchaguzi inakataza recount of votes katika kifungu cha 80(4) Isomeni vizuri....Isipokuwa kama kuna malalamiko ya wakala au mgombea wakati wa kuhesabu kituoni.

Hivyo, basi kifungu tajwa kilikiukwa kwenye majimbo yote waliyorudia kuhesabu kura zote. Sheria inaruhusu maboksi ya kile kituo kama yalikuwepo malalamiko wakati wa kuhesabu kituoni siyo kupinga matokeo yote.

Makamanda nionavyo chaguzi zote walizoshinda ccm kwa kuhesabu kura zote kwa minajili ya kupinga matokeo yote na bila ya kuwepo wenyewe wakati zinahesabiwa basi matokeo hayo mapya yatatenguliwa na mahakama na hivyo kuiamuru NEC kuheshimu matokeo ya awali.
 
Kitu muhimu kwa Wagombea wa UKAWA waliofanyiwa mchezo huo wawe na nakala za matokeo ya awali ya vituo vyote yaliyosainiwa na mawakala kwa kufanya hivyo itakuwa rahisi kwa wao kushinda hiyo kesi kwa Wenje kule Nyamagana kwa taarifa aliyoitoa kwa waandishi wa habari anazo nakala zote za vituo vyote na hivyo kesi yake itakuwa rahisi sana.
 
Kitu muhimu kwa Wagombea wa UKAWA waliofanyiwa mchezo huo wawe na nakala za matokeo ya awali ya vituo vyote yaliyosainiwa na mawakala kwa kufanya hivyo itakuwa rahisi kwa wao kushinda hiyo kesi kwa Wenje kule Nyamagana kwa taarifa aliyoitoa kwa waandishi wa habari anazo nakala zote za vituo vyote na hivyo kesi yake itakuwa rahisi sana.

Lengo la hii makala ni kuuelimisha umma ujue haki zake na kukemea dhuluma kwa kudai haki Mahakamani
 
Sheria ya uchaguzi inakataza recount of votes katika kifungu cha 80(4) Isomeni vizuri....Isipokuwa kama kuna malalamiko ya wakala au mgombea wakati wa kuhesabu kituoni.

Hivyo, basi kifungu tajwa kilikiukwa kwenye majimbo yote waliyorudia kuhesabu kura zote. Sheria inaruhusu maboksi ya kile kituo kama yalikuwepo malalamiko wakati wa kuhesabu kituoni siyo kupinga matokeo yote.

Makamanda nionavyo chaguzi zote walizoshinda ccm kwa kuhesabu kura zote kwa minajili ya kupinga matokeo yote na bila ya kuwepo wenyewe wakati zinahesabiwa basi matokeo hayo mapya yatatenguliwa na mahakama na hivyo kuiamuru NEC kuheshimu matokeo ya awali.

Mimi bado napata shida sana kuelewa jambo hili.

Kwa nini wagombea walikubali kura zihesabiwe upya wakati wameona kabisa jinsi kura feki za CCM zilivyokuwa zinasambazwa tena na magari ya taasisi au magari yanayotumiwa na watu wenye uhusiano wa karibu na wagombea wa CCM?

Kwa nini vyama vyao viwaruhusu kufanya hivyo au walijifanyia wenyewe bila kushirikisha vyama vyao?

Wizi huu hauhusishi kura za wabunge tu peke yao. Na za Rais pia na hasa zimelenga kuchakachua kura za Urais kuliko ubunge wenyewe. Matokeo yake ni kwamba Magufuli atapata kura nyingi za wizi zitakazomuwezesha kutangazwa kuwa mshindi dhidi ya mshindi halali ambaye ni Lowassa.

Sasa hali hii ikitokea hata kama vyama vikienda mahakamani baada ya Magufuli kutangazwa mshindi na wabunge wao wakapitishwa na Mahakama itasaidia nini? Maana Tume ikishatangaza matokeo ya Rais huwezi kuyapinga matangazo hayo ya Tume popote pale mahakamani.

Kwa kweli UKAWA inabidi watupatie maelezo ya kina kuhusu suala hili Watanzania wote waliojitolea kwa hali, nguvu na mali katika kuwaunga mkono ili kuleta mabadiliko ya ukweli na kuhakikisha katiba mpya inapatikana chini ya Serikali ya UKAWA.
 
Habari njema ni kuwa Mh. TL karudi bungeni, Na Kibatala pamoja na Marando tuwaombee uzima pamoja na hao kutapatikana mashujaa wengine ambao kama kumbukumbu zimewekwa vizuri naamini tunaweza kurejesha 85% ya majimbo yaliyodhulumiwa!
 
Mimi bado napata shida sana kuelewa jambo hili.

Kwa nini wagombea walikubali kura zihesabiwe upya wakati wameona kabisa jinsi kura feki za CCM zilivyokuwa zinasambazwa tena na magari ya taasisi au magari yanayotumiwa na watu wenye uhusiano wa karibu na wagombea wa CCM?

Kwa nini vyama vyao viwaruhusu kufanya hivyo au walijifanyia wenyewe bila kushirikisha vyama vyao?

Wizi huu hauhusishi kura za wabunge tu peke yao. Na za Rais pia na hasa zimelenga kuchakachua kura za Urais kuliko ubunge wenyewe. Matokeo yake ni kwamba Magufuli atapata kura nyingi za wizi zitakazomuwezesha kutangazwa kuwa mshindi dhidi ya mshindi halali ambaye ni Lowassa.

Sasa hali hii ikitokea hata kama vyama vikienda mahakamani baada ya Magufuli kutangazwa mshindi na wabunge wao wakapitishwa na Mahakama itasaidia nini? Maana Tume ikishatangaza matokeo ya Rais huwezi kuyapinga matangazo hayo ya Tume popote pale mahakamani.

Kwa kweli UKAWA inabidi watupatie maelezo ya kina kuhusu suala hili Watanzania wote waliojitolea kwa hali, nguvu na mali katika kuwaunga mkono ili kuleta mabadiliko ya ukweli na kuhakikisha katiba mpya inapatikana chini ya Serikali ya UKAWA.

Wagombea hawakuandaliwa kwa kupewa elimu ya uraia nionavyo ila Mahakamani haki itatolewa
 
Habari njema ni kuwa Mh. TL karudi bungeni, Na Kibatala pamoja na Marando tuwaombee uzima pamoja na hao kutapatikana mashujaa wengine ambao kama kumbukumbu zimewekwa vizuri naamini tunaweza kurejesha 85% ya majimbo yaliyodhulumiwa!

Hilo halitoshi ccm wako bize kuwarubuni walioshindwa watupe kesi kwa.milioni mia sita. Tuna wakati mgumu mno
 
Back
Top Bottom