Kumpenda ni moja. Ni kuonesha kuwa jamaa bado hayupo willing kumuacha mkewe na hatuwezi kumlazimisha mke abaki kwa jamaa.(mnaelewa mapenzi yalivyo)Pamoja na kumpenda, kwa hio ashakubari kumpa talaka na kuachana, Suala uliloleta hapa ni Mgawanyo wa mali tuu si ndio?
Hembu iweke hii ieleweke.
Mimi kwa hili sina uzoefu..Kumpenda ni moja.
Ni kuonesha kuwa jamaa bado hayupo willing kumuacha mkewe na hatuwezi kumlazimisha mke abaki kwa jamaa.(mnaelewa mapenzi yalivyo)
Mali ni swala la 2...
Hili wazo lilinijia kuwa asimpe talaka.Mimi kwa hili sina uzoefu..
Ngoja wazoefu waje kwa msaada, Poleni.
Hizi mambo za sheria zinawekwa kwa kusaidia, ila wengine wanatumia kuumiza...
Ahsante.imeeleweka vizuriKisheria Mke Anayetaka Kupewa Talaka Bado ana Haki ya Kudai Mali Alizochuma akiwa na Mumewe, hata kama Yeye Ndio chanzo cha Tatizo Lililopelekea Kudai Talaka....
Sheria inasemaje katika ndoa hizi za kiislamu ambazo zinaruhusu ndoa ya wanandugu wenye uhusiano wa damu katika upande wa binamu au mtoto wa mjomba kuona..? Ipoje hii..Wakuu,
Sheria ya ndoa inawataka watu wanaofungu ndoa wasiwe watu wenye uhusiano wa damu, na endapo watu wa namna hiyo wakifunga ndoa basi ndoa hiyo ni batili na haiwezi kuwa halali kisheria.
Usiku Mwema Wakuu
Kisheria Mke Anayetaka Kupewa Talaka Bado ana Haki ya Kudai Mali Alizochuma akiwa na Mumewe, hata kama Yeye Ndio chanzo cha Tatizo Lililopelekea Kudai Talaka.
Sheria Haimlazimishi Mke Aendelee Kuishi na Mume Asiyemtaka Hata Kama Mume Huyo Bado Anampenda Mke Kwa Dhati. Maadamu Mmoja wao Hataki Tena Kuishi na Mwenza wake, Basi Linapokuja swala la Kugawana mali Kila Mmoja atapata Haki Yake Kulingana Na Walichokichuma Wakiwa Pamoja Katika Ndoa...
Yes. Why not?Naomba unifahamishe kama unauelewa na hili.
Nikioa mwanamke kwa ndoa na akanikuta na kampuni yangu ambayo tayari inafanya vizuri, yeye ana ajira yake ya kumuingizia kipato ambacho ni chake binafsi hakihusiki hata kidogo kwenye kuendesha familia, Je nikimpa talaka na yeye atakuwa na haki ya kupewa sehemu ya kampuni yangu kisheria kama mgawanyo Wa Mali?
Swali LA pili ni same scenario sema mwanamke haujamuoa, unaishi nae tu, vipi atapata chochote.
Aliondoka mwenyewe hakufukuzwa kwanini adai fidia badala ya kudaiwa fidia?Sheria inampa Nafasi kudai Fidia (kuishi kinyumba Zaid ya miez 6 tyar ni ndoa.)
Na sheria zetu Tz zinapelendelea Upande mmoja maana wote wamepotezean muda
palesh pizoo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Naomba unitumie documents mbalimbali za civil na vitabu kuanzia marriage contracts Kama unavyo email yangu mickylevau@gmail.comHawezi kudai fidia yoyote kwa kuwa aliondoka mwenyewe na imepita miaka mingi hawakai pamoja presumption of marriage haiwezi kuonekana hapo