Nipatie kamuda hadi kesho au thereafter!Ok mfano nimeenda soth africa na nikaoa huko, nikaja nae tukaishi Tanzania, mali zangu zipo Tanzania na South Africa.
Nimemuoa nikiwa na mali ya tsh milioni kumi.
Namuacha nikiwa na mali ya tsh bilioni kumi.
Alikuwa housewife.
Tukiachana hapi inakuwaje?
Na sheria yetu ya talaka ina semaje kuhusu
pre-nuptial agreements
Lottery Winner Forced To Pay Ex-Wife £2m
3:46pm UK, Monday November 22, 2010
Jenny Wotherspoon, Sky News Online
A £56m lottery winner has been forced to pay a chunk of his jackpot to his ex-wife who walked out on him 10 years ago for another man.
Nigel Page with his second wife Justine
Euromillions winner Nigel Page agreed to give his former partner £2m in an out-of-court settlement, after she tried to sue him for four times as much.
According to The Sun newspaper, Mr Page had an earlier offer of £1m turned down.
The settlement fee awarded to 43-year-old Wendy is thought to be the first time a former partner has recieved a pay-out from a UK lottery winner.
Divorce lawyer Vanessa Lloyd Platt said there are two reasons Mr Page may have been obliged to settle.
"It's likely to be that the couple had a split settlement or that he was paying ongoing maintenance.
What people don't realise is that if you're paying ongoing maintanence and you get a windfall, your ex can always go back and claim some of that money.
Jamani, baadhi ya wachangiaji hamjamsaidia mleta hoja. Badala yake mmemshambulia. Hilo linanifanya niamini kuwa baadhi ya waliojitokeza kumsaidia mleta hoja si wanasheria, maana wlichokifanya si sehemu ya utamaduni wa wanasheria...anyway, kama alivyochangia msomi mmoja ha juu, ndugu yangu ni muhimu uelewe kwamba serikali ina maslahi makubwa ktk muunganiko wa mtu mme na mtu mke, maana huko hutokea watoto na mali, na masuala mengine yenye manufaa kwa jamii nzima!
Jamani, baadhi ya wachangiaji hamjamsaidia mleta hoja. Badala yake mmemshambulia. Hilo linanifanya niamini kuwa baadhi ya waliojitokeza kumsaidia mleta hoja si wanasheria, maana wlichokifanya si sehemu ya utamaduni wa wanasheria...anyway, kama alivyochangia msomi mmoja ha juu, ndugu yangu ni muhimu uelewe kwamba serikali ina maslahi makubwa ktk muunganiko wa mtu mme na mtu mke, maana huko hutokea watoto na mali, na masuala mengine yenye manufaa kwa jamii nzima!
Reading btn the lines, swali lake linamaana tofauti na mineno miiingi aliyoandika hapa. Kuna kitu analenga. Think hard, utagundua ni nini anataka kutushirikisha.