Sheria ya kutoa notice kwa mpangaji wa nyumba inasemaje?

MZALAMO

JF-Expert Member
Jul 6, 2009
1,758
1,967
Wana JF naomba mnifahamishe kuhusu sheria ya upangaji kama mpangaji anataka kuhama. Je anatakiwa amjulishe mwenye nyumba muda gani kabla ya kuhama? Au mwenye nyumba akitaka kuchukua nyumba yake anatakiwe ampe mpangaji notice ya muda gani kabla ya mkataba kuisha?
 
kwa mujb wa sheria ya ardhi ambayo ria inaongelea mambo ya lease, notice ya weza kuwa ya mda wowote kulingana na mda wa pango husika yaan monthly au weekly au yearly au zaid na kulingana na mkataba wa pango husika.
Kama hakuna mkataba au mkataba haujatoa mda wa notice muda wa siku thelathin mara nying hutumika lakn kulingana na urefu wa muda pango kama nilivyoonyesha hapo juu.
Lakn ikumbukwe kuwa ukikatsha mkataba pasipo sababu za msing pamoja na notice utatakiwa kulipa fidia isipokuwa tu pale ambapo mkataba umetoa uhuru wa kukatsha mkataba wakat wowote kwa sababu yeyote ile.
 
kwa mujb wa sheria ya ardhi ambayo ria inaongelea mambo ya lease, notice ya weza kuwa ya mda wowote kulingana na mda wa pango husika yaan monthly au weekly au yearly au zaid na kulingana na mkataba wa pango husika.
Kama hakuna mkataba au mkataba haujatoa mda wa notice muda wa siku thelathin mara nying hutumika lakn kulingana na urefu wa muda pango kama nilivyoonyesha hapo juu.
Lakn ikumbukwe kuwa ukikatsha mkataba pasipo sababu za msing pamoja na notice utatakiwa kulipa fidia isipokuwa tu pale ambapo mkataba umetoa uhuru wa kukatsha mkataba wakat wowote kwa sababu yeyote ile.

Kwa kuongezea hapo. Suala la kuvunja mkataba au kuongeza mkataba huwa linakuwa linabainishwa katika Mkataba wa kupangisha nyumba. Mara nyingi sana taarifa inatakiwa itolewe kwa mpangaji au mpangishaji kama utasitisha mkataba au utaongeza mkataba miezi mitatu kabla kumalizika kwa mkataba.

Hicho ni kipengele muhimu sana katika mkataba
 
Kwa kuongezea hapo. Suala la kuvunja mkataba au kuongeza mkataba huwa linakuwa linabainishwa katika Mkataba wa kupangisha nyumba. Mara nyingi sana taarifa inatakiwa itolewe kwa mpangaji au mpangishaji kama utasitisha mkataba au utaongeza mkataba miezi mitatu kabla kumalizika kwa mkataba.

Hicho ni kipengele muhimu sana katika mkataba

ni ndani ya masaa 24 awe amehama lakini mwenye nyumba atatakiwa kumlipa mpangaji wake kodo ya miezi mitatu au kulingana na mkataba wa mwenye nyumba
 
Suala la mpangaji na mwenye nyumba(landlord and tenant) linaongozwa na sheria mbili, ya kwanza ni sheria ya ardhi namba nne ya mwaka 1999, na sheria ya mikataba (law of contract). Kimsingi sheria ya ardhi upande wa upangaji imeweka minimum or principle issues ambazo zitaongoza suala lolote linalohusu upangaji katika mainland tanzania. Hivyo, hata kama mmeingia kwenye mkataba na ukawa na mapungufu, sheria ya ardhi upande wa lease huyajazia mapungufu hayo. Hivyo basi, kwa suala tajwa hapo juu, kama mkataba wenu haukuongelea notisi, kwa mujibu wa sheria, notisi ni siku 30, japo kwa sasa sikumbuki kifungu halisi. Hata hivyo, kama nlivyosema,suala la upangaji pia linaongozwa na sheria ya mkataba ndio maana wahusika husaini MKATABA WA UPANGAJI. Ni nini maana yake? Maana yake wahusika kwa kutumia sheria ya mkataba wanaweza kuweka vipengele vyao vya kuwaongoza na vipengele hivyo vinakuwa na nguvu baina yao. Kwa mfano, kama eneo ni la biashara, haiwezekani kutoa notisi ya siku thelasini kwa kuwa mpangaji lazima apewe muda wa kutafuta eneo la kibiashara kama analohama. Kama mpangaji alikodishwa eneo la hoteli ghorofa tano, lazima ajikinge dhidi ya notisi fupifupi kwa kuweka kipengele katika mkataba. Hivyo ni muhimu sana kutafakari kila kipengele kwa kina na kwa kuangalia mbele. Lastly, kwa wapangaji na wenye nyumba, .notisi inatolewa ndani ya muda wa mkataba, mfano kama mkataba unasema notisi ni mwezi mmoja, .notisi hiyo itolewe kabla mkataba haujaisha, si baada ya mkataba kuisha kwa kuwa utamruhusu mpangaji kukaa bure one more month after the expiry of the contract
 
Suala la mpangaji na mwenye nyumba(landlord and tenant) linaongozwa na sheria mbili, ya kwanza ni sheria ya ardhi namba nne ya mwaka 1999, na sheria ya mikataba (law of contract). Kimsingi sheria ya ardhi upande wa upangaji imeweka minimum or principle issues ambazo zitaongoza suala lolote linalohusu upangaji katika mainland tanzania. Hivyo, hata kama mmeingia kwenye mkataba na ukawa na mapungufu, sheria ya ardhi upande wa lease huyajazia mapungufu hayo. Hivyo basi, kwa suala tajwa hapo juu, kama mkataba wenu haukuongelea notisi, kwa mujibu wa sheria, notisi ni siku 30, japo kwa sasa sikumbuki kifungu halisi. Hata hivyo, kama nlivyosema,suala la upangaji pia linaongozwa na sheria ya mkataba ndio maana wahusika husaini MKATABA WA UPANGAJI. Ni nini maana yake? Maana yake wahusika kwa kutumia sheria ya mkataba wanaweza kuweka vipengele vyao vya kuwaongoza na vipengele hivyo vinakuwa na nguvu baina yao. Kwa mfano, kama eneo ni la biashara, haiwezekani kutoa notisi ya siku thelasini kwa kuwa mpangaji lazima apewe muda wa kutafuta eneo la kibiashara kama analohama. Kama mpangaji alikodishwa eneo la hoteli ghorofa tano, lazima ajikinge dhidi ya notisi fupifupi kwa kuweka kipengele katika mkataba. Hivyo ni muhimu sana kutafakari kila kipengele kwa kina na kwa kuangalia mbele. Lastly, kwa wapangaji na wenye nyumba, .notisi inatolewa ndani ya muda wa mkataba, mfano kama mkataba unasema notisi ni mwezi mmoja, .notisi hiyo itolewe kabla mkataba haujaisha, si baada ya mkataba kuisha kwa kuwa utamruhusu mpangaji kukaa bure one more month after the expiry of the contract
.....mkuu naomba nisaidie nini cha kufanya kwenye hizi cases mbili:
..mosi.,mpangaji aliemaliza mkataba wake na akaomba na kulipia mwezi mmoja ili ahame;mwezi umeisha ila hapokei simu wala kujibu meseji na kuhama hajahama!
...pili,mpangaji mkataba wake umeisha ila anapiga kalenda kwa zaidi ya mwezi na nusu kulipa tena ili kuingia mkataba mpya.
.natanguliza shukrani
 
Kuna mpangaji ambae mwenye nyumba anataka kumtoa katika nyumba yake kutokana na sababu zifuatazo;1.Halipi kodi ya pango ya kila mwezi katika muda uliopangwa.2.Hana maelewano mazuri na wapangaji wenzeka na mwenye nyumba .Na katika mkataba wa kupanga imeelezwa mpangaji atakapokiuka mojawapo mwenyenyumba ana haki ya kumpa notisi ya kuhama.Swali langu jee ni sawa kumpa notisi ya mwezi mmoja ili kuhama mpangaji huyo?na jee atalipa kodi ya mwezi anaotumikia notisi au hapana?
 
Kuna mpangaji ambae mwenye nyumba anataka kumtoa katika nyumba yake kutokana na sababu zifuatazo;1.Halipi kodi ya pango ya kila mwezi katika muda uliopangwa.2.Hana maelewano mazuri na wapangaji wenzeka na mwenye nyumba .Na katika mkataba wa kupanga imeelezwa mpangaji atakapokiuka mojawapo mwenyenyumba ana haki ya kumpa notisi ya kuhama.Swali langu jee ni sawa kumpa notisi ya mwezi mmoja ili kuhama mpangaji huyo?na jee atalipa kodi ya mwezi anaotumikia notisi au hapana?
Notisi ikitolewa ndani ya mkataba maana yake ile pesa bado inatumika, ila kama ikitolewa wakati mkataba umeisha basi mhusika atakaaa bure mwezi wote, so watu huwa wanatoa notisi wakati mkataba bado upo valid
 
Notisi ikitolewa ndani ya mkataba maana yake ile pesa bado inatumika, ila kama ikitolewa wakati mkataba umeisha basi mhusika atakaaa bure mwezi wote, so watu huwa wanatoa notisi wakati mkataba bado upo valid
Asante mkuu.
 
mkataba wangu ni mwezi mmoja ambapo nilitaka kuhama nikamuomba mwenye nyumba anipe siku ishirini kabla ya mwezi niliokuwa nimemaliza kuisha ili nijiandae kuondoka lakini alikataa. Je kwa kuwa sijapata hela ya kumlipa na mwezi niliokuwa nimemuomba ushafika naweza kukaa siku hzo ishirini alafu nikaondoka bila kumlipa? naomba mnafaham sheria mnisaidie maana niliomba mapema kbsa kilingana na hali ngumu ya maisha ya sasa ili anipatie muda niondoke nirudi nyumban.
 
kwa mujb wa sheria ya ardhi ambayo ria inaongelea mambo ya lease, notice ya weza kuwa ya mda wowote kulingana na mda wa pango husika yaan monthly au weekly au yearly au zaid na kulingana na mkataba wa pango husika.
Kama hakuna mkataba au mkataba haujatoa mda wa notice muda wa siku thelathin mara nying hutumika lakn kulingana na urefu wa muda pango kama nilivyoonyesha hapo juu.
Lakn ikumbukwe kuwa ukikatsha mkataba pasipo sababu za msing pamoja na notice utatakiwa kulipa fidia isipokuwa tu pale ambapo mkataba umetoa uhuru wa kukatsha mkataba wakat wowote kwa sababu yeyote ile.
ni ndani ya masaa 24 awe amehama lakini mwenye nyumba atatakiwa kumlipa mpangaji wake kodo ya miezi mitatu au kulingana na mkataba wa mwenye nyumba
Suala la mpangaji na mwenye nyumba(landlord and tenant) linaongozwa na sheria mbili, ya kwanza ni sheria ya ardhi namba nne ya mwaka 1999, na sheria ya mikataba (law of contract). Kimsingi sheria ya ardhi upande wa upangaji imeweka minimum or principle issues ambazo zitaongoza suala lolote linalohusu upangaji katika mainland tanzania. Hivyo, hata kama mmeingia kwenye mkataba na ukawa na mapungufu, sheria ya ardhi upande wa lease huyajazia mapungufu hayo. Hivyo basi, kwa suala tajwa hapo juu, kama mkataba wenu haukuongelea notisi, kwa mujibu wa sheria, notisi ni siku 30, japo kwa sasa sikumbuki kifungu halisi. Hata hivyo, kama nlivyosema,suala la upangaji pia linaongozwa na sheria ya mkataba ndio maana wahusika husaini MKATABA WA UPANGAJI. Ni nini maana yake? Maana yake wahusika kwa kutumia sheria ya mkataba wanaweza kuweka vipengele vyao vya kuwaongoza na vipengele hivyo vinakuwa na nguvu baina yao. Kwa mfano, kama eneo ni la biashara, haiwezekani kutoa notisi ya siku thelasini kwa kuwa mpangaji lazima apewe muda wa kutafuta eneo la kibiashara kama analohama. Kama mpangaji alikodishwa eneo la hoteli ghorofa tano, lazima ajikinge dhidi ya notisi fupifupi kwa kuweka kipengele katika mkataba. Hivyo ni muhimu sana kutafakari kila kipengele kwa kina na kwa kuangalia mbele. Lastly, kwa wapangaji na wenye nyumba, .notisi inatolewa ndani ya muda wa mkataba, mfano kama mkataba unasema notisi ni mwezi mmoja, .notisi hiyo itolewe kabla mkataba haujaisha, si baada ya mkataba kuisha kwa kuwa utamruhusu mpangaji kukaa bure one more month after the expiry of the contract
Wakuu wote habari zenu. Kuna kesi hapa nyumbani kidogo imetokea inayofanana na ya mleta mada...

Nilikua na mpangaji, ila kutokana na usumbufu wa kulipa kodi nikaamua apewe notisi ya miezi mitatu ili awe amehama.

Mpaka sasa naona kaanza usumbufu..

Sikua na mkataba nae wa maandishi maana by the time anakuja hatukua na utaratibj huo.

Kodi yake alikua anatakiwa kulipa kila mwezi.

Sasa haya ndio maswali yangu.

1. Akikataa kuondoka ndani ya miezi hiyo mitatu niliyonpa sheria inasemaje?

2. Je notisi ilitakiwa apewe ya muda ganj?

Cc Dragoon Petro E. Mselewa
VoiceOfReason Prof
 
Wakuu wote habari zenu. Kuna kesi hapa nyumbani kidogo imetokea inayofanana na ya mleta mada...

Nilikua na mpangaji, ila kutokana na usumbufu wa kulipa kodi nikaamua apewe notisi ya miezi mitatu ili awe amehama.

Mpaka sasa naona kaanza usumbufu..

Sikua na mkataba nae wa maandishi maana by the time anakuja hatukua na utaratibj huo.

Kodi yake alikua anatakiwa kulipa kila mwezi.

Sasa haya ndio maswali yangu.

1. Akikataa kuondoka ndani ya miezi hiyo mitatu niliyonpa sheria inasemaje?

2. Je notisi ilitakiwa apewe ya muda ganj?

Cc Dragoon Petro E. Mselewa
VoiceOfReason Prof
Kwa mujibu wa sheria za nchi zinazohusu upangaji ni rahisi zaidi kumdai mpangaji kodi kuliko kumhamisha.Sheria ya kumhamisha mpangaji kwenye nyumba imefanywa ngumu kwa sababu ya ukweli kwamba kama ikiwa rahisi kumtoa mtu kwenye nyumba basi tutakuwa na watu wengi ambao ni HOMELESS.

Hivyo basi kwa mwenye nyumba yeyote yule ni bora ukitumia nguvu na muda wako katika KUMDAI mpangaji wako kodi katika kiwango ambacho kitamfanya alipe au ahame mwenyewe kutokana kero za mwenye nyumba kuliko kujaribu kutafuta njia za kisheria za KUMFUKUZA_EVICTION
 
Back
Top Bottom