Sheria ya kunyonga itekelezwe bila huruma

Stress Challenger

JF-Expert Member
Feb 24, 2022
1,778
4,282
Mama usiogope. Weka sahihi wale wote wamehukumiwa kihalali kunyongwa hadi kufa wanyongwe tena hadharani mbele ya kadamnasi.

Temana na hivi vikundi uchwara wa haki za binadamu. Tia sahihi waliohukumiwa kunyongwa wanyongwe hadi kufa. Tena wote kwa mkupuo iwe funzo. Watu wanaua hovyo hovyo tu wakidhani wataponyoka. Sheria hii ya kunyonga ikitekelezwa wauaji watashikwa na hofu. Na hii hali itapungua.

Kijana mdogo tu kafa kwa ajili ya simu tu. Anatembea anarudi nyumbani kwake vibaka wawili wakagonga kwa nguvu na jiwe kisogoni akaanguka na kufa na kumnyang'anya simu. Sasa hao wakishikwa si kuwanyonga tu.

Mama ukiletewa mafaili usiogope mwaga wino. Mungu atakubariki zaidi.
 
Relax mtoa hoja, yes watu wanauliwa na tena wanauliwa kwa visababu vidogo tu na wengi wao hasa hapa nchini they get away with murder, hili naafikiana nawe but who to blame ni police department yetu kuwa ya kisiasa zaidi kuliko kitaalamu, hatuna kabisa foresinc investigation unit, wala pathologists etc etc, pls mtoa hoja ungana Nami katika kupiga vita adhabu ya death sentence, haisaidii na wala haiwafanyi watu waogope kuua, long term sentences ni bora na more effective kuliko death sentence, funga mtu miaka 100yrs without parole, hii itasaidia watu to think twice kabla ya kuua, tuna adhabu ya 30yrs kwa rape na watu bado wana rape, peleka jela miaka mingi na hii itawapa woga wa ku rape, Tanzania bila death sentence inawezekana
 
Relax mtoa hoja,yes watu wanauliwa na tena wanauliwa kwa visababu vidogo tu na wengi wao hasa hapa nchini they get away with murder, hili naafikiana nawe but who to blame ni police department yetu kuwa ya kisiasa zaidi kuliko kitaalamu, hatuna kabisa foresinc investigation unit, wala pathologists etc etc,pls mtoa hoja ungana Nami katika kupiga vita adhabu ya death sentence, haisaidii na wala haiwafanyi watu waogope kuua, long term sentences ni bora na more effective kuliko death sentence, funga mtu miaka 100yrs without parole ,hii itasaidia watu to think twice kabla ya kuua,tuna adhabu ya 30yrs kwa rape na watu bado wana rape, peleka jela miaka mingi na hii itawapa woga wa ku rape, Tanzania bila death sentence inawezekana
Mjinga wewe
 
Relax mtoa hoja,yes watu wanauliwa na tena wanauliwa kwa visababu vidogo tu na wengi wao hasa hapa nchini they get away with murder, hili naafikiana nawe but who to blame ni police department yetu kuwa ya kisiasa zaidi kuliko kitaalamu, hatuna kabisa foresinc investigation unit, wala pathologists etc etc,pls mtoa hoja ungana Nami katika kupiga vita adhabu ya death sentence, haisaidii na wala haiwafanyi watu waogope kuua, long term sentences ni bora na more effective kuliko death sentence, funga mtu miaka 100yrs without parole ,hii itasaidia watu to think twice kabla ya kuua,tuna adhabu ya 30yrs kwa rape na watu bado wana rape, peleka jela miaka mingi na hii itawapa woga wa ku rape, Tanzania bila death sentence inawezekana
Death sentence mimi naona ni adhabu bora kabisa, Yani Mtu Kabaka/kulawiti mtoto wa miaka mitatu(3) then unampeleka jela miaka 100 ya nini sasa, mtu anaua mtu mwingine kikatili kabisa lakini adhabu yake unampeleka jela kufanya Nini..?! Aliyeua na yeye auawe Ili aonje uchungu wa kifo tena haraka baada ya kufanya udhalimu wake.

Kimsingi sheria za zamani ambazo siku hizi tunaona zimepitwa na wakati ndiyo bora zaidi kwenye kupambana na uhalifu.
 
Mfumo wa kutoa haki hapa Tanzania hauna mpangilio mzuri Kuna watu wengi wapo Gerezani na hawana hatia.
Kuna Mtu aliua na akaingizwa Magereza na akatoka kwa Pesa . Na kesi akapewa Mwingine .
 
Death sentence Mimi naona ni adhabu Bora kabisa,... Yani Mtu Kabaka/kulawiti mtoto wa miaka mitatu(3) then unampeleka jela miaka 100 ya nini sasa, mtu anaua mtu mwingine kikatili kabisa lakini adhabu yake unampeleka jela kufanya Nini..?! Aliyeua na yeye auawe Ili aonje uchungu wa kifo tena haraka baada ya kufanya udhalimu wake.


Kimsingi sheria za zamani ambazo siku hizi tunaona zimepitwa na wakati ndiyo bora zaidi kwenye kupambana na uhalifu.
Hii ni mada we have a right to disagree, mimi death sentence it's a No
 
Mjinga wewe
Thanks, ujinga ni bora kuliko upumbavu maana ningefurahi kama ungenielimisha ili nijue ila upumbavu ni ugonjwa ambao naona kwako upo stage 4,hii ni mada tunajadili na hatuwezi wote tukawa na mawazo ya pamoja, na kumbuka we have a right to disagree, wewe unaonekana ni jitu katili sana, I feels sorry kwa familia yako,kuzungukwa na jitu katili kama wewe
 
Back
Top Bottom