Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Naulizia tu ,je ndani ya dini ya kikristo zimo sheria ,mfano sheria za kumhukumu mwizi endapo atakamatwa,sheria za mwanamke iwapo atazini au ataonekana sio bikira siku ya mwanzo ya kukutana na mumewe ikiwa hajawahipo kuolewa,sheria za mavazi kwa wanawake na hata waume ,sheria zinazohusiana na urithi.kama zipo mnaweza kuziorodhesha mbili tatu hapa,ili tupate muongozo au ufunuo.Na je hapa duniani ipo mahakama yeyote ya kikiristo.
Naona kuna msukumo wa kujadili kisiasa ndani maamuzi ya dini ya kiislamu kutaka iwepo mahakama ya kadhi ,je na wenzetu ndugu zetu wa karibu kabisa wa dini ya kikristu ,nao iwapo wanazo sheria wanaweza kuanzisha mahakama ambayo itaweza kushughulikia misingi ya sheria za dini yao.
Naomba kuwakilisha hoja na natanguliza samahani ikiwa itaonekana nimemgusa mtu.
Naona kuna msukumo wa kujadili kisiasa ndani maamuzi ya dini ya kiislamu kutaka iwepo mahakama ya kadhi ,je na wenzetu ndugu zetu wa karibu kabisa wa dini ya kikristu ,nao iwapo wanazo sheria wanaweza kuanzisha mahakama ambayo itaweza kushughulikia misingi ya sheria za dini yao.
Naomba kuwakilisha hoja na natanguliza samahani ikiwa itaonekana nimemgusa mtu.