Mimi nina hasira nao sana kuna mmoja namwinda huwa anakaa mtaa wa mrogogoro kwenye junction ya kwenda regency hospital. Alinikwanyulia side mirror wakati najiandaa kuingia morogoro road kutokea regency. Kibaya zaidi huyu teja ni mnyarwanda anaitwa Andakize nimeshamfuatilia sana huwa napishana nae ila ipo siku nitamtia mikonononi.