kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Kuendesha matatu nayo ni sheria au ni porojo za driving schooldereva anaendesha magari 3
1. la kwake
2. mbele yake
3. la nyuma yake
hapo sasa ukigonga gari kwa nyuma ww ndo mwenye makosa chakufanya ita wahusika wapime alafu bima ya gari itamalizana mbele kwa mbele na alieumia