Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,152
Hizo Mita 20 ni nafasi za Passo au Vitz 7 au 8Kuna nafasi imewekwa kisheria kati ya gari moja na lingine. Sikumbuki ni mita ngapi, ila nadhani ni mita 20. Sina uhakika.
Kwa maana hiyo ukiligonga gari la mbele yako, ina maana hukuzingatia taratibu na sheria za ile nafasi. Kwa maana hiyo unakuwa una kosa.