GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,926
Habari za leo wanajamvi,kuna utata naupataga kwenye hili swala,labda wajuzi wa sheria za usalama barabarani watatusaidia,....
Mara nyingi inajulikana kuwa ukigonga gari lingine kwa nyuma inakuwa kwamba ww mgongaji ndio una kosa,je ni sheria ww ngongaji ndio utengeneze gari la mwenzako?,i mean sheria hasa za usalama zinasemaje?,maana wengine wanasema kuwa bima ndio zinatengeneza gari zote mbili,je unaweza kukomaa na mwenye gari ili ulipe faini ya polisi then kila mmoja akatengenezewe gari lake na kampuni ya bima?,...hapo naongelea Third part insurance.Naomba wataalam wa sheria za barabarani watusaidie.
Umeshamaliza makato yako ya Mkopo wa hilo Gari Mkuu?