Konseli Mkuu Andrew
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 740
- 855
Salaam Wakuu,
Niende kwenye maada tajwa hapo juu.
Nafahamu kwa sheria za Tanzania Mahakama ndiyo imepewa mamlaka ya kumkuta mtuhumiwa na hatia na si chombo kingine.Swali langu ni kuwa Mahakama baada ya kumpa kifungo huyo aliyekuwa mtuhumiwa kuna namna yoyote na kutunza mali anazoziacha kama nyumba, viwanja, gari n.k hadi pale kifungo chake kitakapo kwisha?
Maana kuna msemo upo huku mtaani kuwa mtu aliyetoka jela huwa kama na laana au mkosi fulani mana huwa hana ramani yoyote pindi atokapo jera nami nipingana na huu msemo wafungwa wengi wanapofungwa mali wanaziacha huwa zinapotea potea hovyo hovyo maana waliobaki huwa na uhuru wakijua hawezi kutoka tena na matokeo yake huwa ni wakati mgumu pindi wafungwa hao
wanapomalizia vifunngo vyao.
Kuna umuhimu sasa tuwe na sheria inayoipa Mahakama jukumu ya kutunza mali zinazoachwa na wafungwa kama mhusika atakubali iwe hivyo.
Niende kwenye maada tajwa hapo juu.
Nafahamu kwa sheria za Tanzania Mahakama ndiyo imepewa mamlaka ya kumkuta mtuhumiwa na hatia na si chombo kingine.Swali langu ni kuwa Mahakama baada ya kumpa kifungo huyo aliyekuwa mtuhumiwa kuna namna yoyote na kutunza mali anazoziacha kama nyumba, viwanja, gari n.k hadi pale kifungo chake kitakapo kwisha?
Maana kuna msemo upo huku mtaani kuwa mtu aliyetoka jela huwa kama na laana au mkosi fulani mana huwa hana ramani yoyote pindi atokapo jera nami nipingana na huu msemo wafungwa wengi wanapofungwa mali wanaziacha huwa zinapotea potea hovyo hovyo maana waliobaki huwa na uhuru wakijua hawezi kutoka tena na matokeo yake huwa ni wakati mgumu pindi wafungwa hao
wanapomalizia vifunngo vyao.
Kuna umuhimu sasa tuwe na sheria inayoipa Mahakama jukumu ya kutunza mali zinazoachwa na wafungwa kama mhusika atakubali iwe hivyo.