uduzungwa
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 552
- 541
Mkuu wa nchi Leo katika hotuba yake amesema mwaka huu ndio mwisho kufanyika katika jiji la dar es salaam.
Kwa minajili hii naiona dodoma mpya kwa kasi sana katika huu utawala wa ngosha the don.
Watanzania wa kawaida wana mategemeo Mkubwa sana juu ya mh JPM.
Mie nimpe pongezi juu ya hili. Mungu akulinde na uzidi kutimiza zile ndoto za watanzania wengi.
Hapa kazi tu.
Wapinzani mtajijuuuu.
Kwa minajili hii naiona dodoma mpya kwa kasi sana katika huu utawala wa ngosha the don.
Watanzania wa kawaida wana mategemeo Mkubwa sana juu ya mh JPM.
Mie nimpe pongezi juu ya hili. Mungu akulinde na uzidi kutimiza zile ndoto za watanzania wengi.
Hapa kazi tu.
Wapinzani mtajijuuuu.