johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,034
Wakati wa Ramadan na hatimaye sikukuu ya Iddi Ndio Watu huweka mazingatio kwenye bei za vyakula na sababu zinaeleweka Lakini siyo Wakati wa Sherehe za Mwisho wa mwaka ambazo Hazina mfungo wala nini.
Watanzania muwe waelewa, biashara zote zina kanuni na mifumo yake.
Kilo ya Nyama 10,000 basi kelele kila kona, acheni hizo.
Ni hilo tu!
Watanzania muwe waelewa, biashara zote zina kanuni na mifumo yake.
Kilo ya Nyama 10,000 basi kelele kila kona, acheni hizo.
Ni hilo tu!