Sherehe za mwisho wa mwaka 2019 kudorora/kutochangamka: Je yaweza kuwa kigezo cha uchumi kudorora?

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,440
13,428
Enzi za Nyerere sijaziishi ila skukuu za kuazinzia awamu wa mwinyi hadi kikwete siku hizi zilikuwa na vurugu nyingi wananchi walistarehe sana.

Kwa mkoa wa Dar mitaa kama Sinza ilikuwa shangwe la hatari, kila rafiki ukimpigia amelewa chakari au wasio tumia kileo yuko mahotel makubwa leo nimehesabu idadi ya marafiki wanaoomba hela walau familia ile pilau tena vipesa vidogo elfu 20, 30 au 50 ni wengi sana.

Hali huko mavijijini na hiyo hiyo Mtwara na mikoa jirani shida (koroshow). Je wanasiasa wetu badala ya kung'ang'ania matakwimu hii hali haiwezi kuwaambia way forward?

Kaini alipomuua mdogo wake Abel, MUNGU akamuuliza ''Kaini ,Abel yuko wapi? '' alijibu ''sijui mimi sio mlinzi wake '' binadamu akikosa upendo hutafuta majibu mepesi ya shida ya mwenzake ,ukiwauliza hivi hamuoni hali ya wananchi imekuwa ngumu? wanakujibu ''Hao walikuwa wapiga deal'' karatu vijijini kulikuwa na wapiga deal, Iringa vijijini je? Mbona nao wanalalamika?

Kuweni na sikukuu njema ya Noel na mwaka mpya.

UJUMBE: Mtanzania yeyote anawajibika juu ya usalama wa mtanzania yeyote, njaa ya jirani yako ni yako, ukishindwa kumsaidia basi walau usimuumize.
 
Alie kuambiwa bata ni kigezo cha uchumi kukua nani?
Enzi za Za nyerere sijaziishi ila skukuu za kuazinzia awamu wa mwinyi hadi kikwete siku hizi zilikuwa na vurugu nyingi wananchi walistarehe sana .kwa mkoa wa Dar mitaa kama sinza ilikuwa shangwe la hatari ,kila rafiki ukimpigia amelewa chakari au wasio tumia kileo yuko mahotel makubwa leo nimehesabu idadi ya marafiki wanaoomba hela walau familia ile pilau tena vipesa vidogo elfu 20,30 au 50 ni wengi sana .

Hali huko mavijijini na hiyo hiyo mtwara na mikoa jirani shidaaa(koroshow) ,Je wanasiasa wetu badala ya kung'ang'ania matakwimu hii hali haiwezi kuwaambia way forward ?

Kaini alipomuua mdogo wake Abel ,MUNGU akamuuliza ''kaini ,abel yuko wapi? '' alijibu ''sijui mimi sio mlinzi wake '' binadamu akikosa upendo hutafuta majibu mepesi ya shida ya mwenzake ,ukiwauliza hivi hamuoni hali ya wananchi imekuwa ngumu ? wanakujibu ''Hao walikuwa wapiga deal'' karatu vijijini kulikuwa na wapiga deal ,iringa vijijini ,je ? mbona nao wanalalamika .

Kuweni na sikukukuu njema ya Noel na mwaka mpya .

UJUMBE: Mtanzania yeyote anawajibika juu ya usalama wa mtanzania yeyote , njaa ya jirani yako ni yako, ukishindwa kumsaidia basi walau usimuumize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu hawana matumizi ya ovyo. Siku hizi chakula kinapikwa nyumbani, bar ni mtu na mke/mpenzi wake si kama zamani mchepuko unakuvamia na rafiki zake 5. Pia kipimo cha purchasing power si ulevi. Nenda kwenye mambo muhimu kama vyakula, usafiri, mifugo, elimu n.k utakuta ndo hela imeelekezwa.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Watu hawana matumizi ya ovyo. Siku hizi chakula kinapikwa nyumbani, bar ni mtu na mke/mpenzi wake si kama zamani mchepuko unakuvamia na rafiki zake 5. Pia kipimo cha purchasing power si ulevi. Nenda kwenye mambo muhimu kama vyakula, usafiri, mifugo, elimu n.k utakuta ndo hela imeelekezwa.
Ulevi huwa ni matumizi ya ziada inayobakia baada ya matumizi muhimu na kuweka akiba,mapato yakipungua inabidi au bidhaa zikiongezeka bei (usimamizi mbaya wa uchumi) wananchi inabidi waache starehe (ulevi,kutembelea mbuga,kwenda mahotel makubwa ,kwenda beach etc) ambazo huwa ni ajira kwa wengine
 
Enzi za Za nyerere sijaziishi ila skukuu za kuazinzia awamu wa mwinyi hadi kikwete siku hizi zilikuwa na vurugu nyingi wananchi walistarehe sana .kwa mkoa wa Dar mitaa kama sinza ilikuwa shangwe la hatari ,kila rafiki ukimpigia amelewa chakari au wasio tumia kileo yuko mahotel makubwa leo nimehesabu idadi ya marafiki wanaoomba hela walau familia ile pilau tena vipesa vidogo elfu 20,30 au 50 ni wengi sana .

Hali huko mavijijini na hiyo hiyo mtwara na mikoa jirani shidaaa(koroshow) ,Je wanasiasa wetu badala ya kung'ang'ania matakwimu hii hali haiwezi kuwaambia way forward ?

Kaini alipomuua mdogo wake Abel ,MUNGU akamuuliza ''kaini ,abel yuko wapi? '' alijibu ''sijui mimi sio mlinzi wake '' binadamu akikosa upendo hutafuta majibu mepesi ya shida ya mwenzake ,ukiwauliza hivi hamuoni hali ya wananchi imekuwa ngumu ? wanakujibu ''Hao walikuwa wapiga deal'' karatu vijijini kulikuwa na wapiga deal ,iringa vijijini ,je ? mbona nao wanalalamika .

Kuweni na sikukukuu njema ya Noel na mwaka mpya .

UJUMBE: Mtanzania yeyote anawajibika juu ya usalama wa mtanzania yeyote , njaa ya jirani yako ni yako, ukishindwa kumsaidia basi walau usimuumize
Uchumi haupimwi kwa kula bata sinza. Watz sasa wamejua matumizi sahihi ya pesa zao siyo siku za nyuma ya kwenda kunywesha marafiki bar kibao na kuwa na nyumba ndogo tano. Watz wamejitambua sasa!
 
mtoa mada kwako ndo hamna bata ila uku kwetu full shangwe yani raha juu ya raha
jibebe
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Uchumi haupimwi kwa kula bata sinza. Watz sasa wamejua matumizi sahihi ya pesa zao siyo siku za nyuma ya kwenda kunywesha marafiki bar kibao na kuwa na nyumba ndogo tano. Watz wamejitambua sasa!
Kwa hiyo wanamapato yaleyale ,ila wameonywa ndo wameacha michepuko ,be serious
 
Back
Top Bottom