baruti 1
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 620
- 703
tangu lini mlishawahi kuamini takwimu juu ya uchumi wa nchi? hata enzi za kikwete mlikua mkiambiwa uchumi unakua mnazinguaUchumi wa kwenye karatasi mkuu, hata ngosha huwa anatuaminisha hivyo kila siku kwamba uchumi unakuwa, ila kiuhalisia chamoto tunakiona