Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar zadorora

Sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar zadorora

Uchumi mbovu, watu wanasaka riziki mtaani, hawana mzuka tena na sherehe, maana ni porojo zile zile za miaka yote
 
Basi Sherehe zijazo kabla ya Sherehe SMZ itamwita Seif Ikulu ya Zanzibar Kama alivyoitwa Lowassa ili Sherehe zifane

Seif na Watu wake kituko, akishirikishwa kwenye Serikal huwa anayatambua Mapinduzi Matukufu ya 1964 wakimtema anatambua Utawala wa Sultan jamsheed kupitia Kibaraka wake Mohamed Shamte
Tunakushukuru kwa kuutambua ukubwa wa Jabali Maalim Seif
 
Ni lini hizi sherehe huwa nzuri,Wanatuonyesha bnduki na mizinga kila siku,mimi zote huwa zinaniboa na mpaka leo maonyesho ya siraha kwenye sherehe hizi zote za kitaifa za chini mwetu huwa sielewi maana yake
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .

Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda

Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
 
Ni lini hizi sherehe huwa nzuri,Wanatuonyesha bnduki na mizinga kila siku,mimi zote huwa zinaniboa na mpaka leo maonyesho ya siraha kwenye sherehe hizi zote za kitaifa za chini mwetu huwa sielewi maana yake
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .

Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda

Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
 
Ni lini hizi sherehe huwa nzuri,Wanatuonyesha bnduki na mizinga kila siku,mimi zote huwa zinaniboa na mpaka leo maonyesho ya siraha kwenye sherehe hizi zote za kitaifa za chini mwetu huwa sielewi maana yake
Maana yake ni kwamba usilete fyokofyoko .
 
Taifa haliko pamoja tena kama nchi, kwa hizo sherehe zimebaki kuwa za wale kijani na ukiangalia kijani wako asilimia ngapi ya Watanzania?!
Nimeshangaa kuona wananchi wanaingiabwakwabna nguo za kijani, na mbaya zaidi nimeona ule msururu upande wa vips wanaingia na nguo za kijani, nikajiuliza hizi nibsherehe za chama au za wananchi wote kwa pa1
 
Nimeshangaa kuona wananchi wanaingiabwakwabna nguo za kijani, na mbaya zaidi nimeona ule msururu upande wa vips wanaingia na nguo za kijani, nikajiuliza hizi nibsherehe za chama au za wananchi wote kwa pa1
Sherehe hizi mkuu zilishapoteza maana na hadhi yake baada ya kuhodhiwa na hawa ccm, ndio maana mtu asiye na vinasaba vya kijani ni ngumu sana kushiriki
 
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .

Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda

Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?

Hapana Bwana
 
Huo ndio ukweli ingawa kwako itakuwa vigumu kuelewa. Baada ya saa 5 asubui taratibu za Ijumaa zinashika hatamu uwe CCM au CUF.
Umenikumbusha ibada ya Krismas kitaifa last year iliyofanyika Zanzibar, ilifana sana!
 
textgram_1515305937.png
 
Back
Top Bottom