kwa sisi wapenda paredi hatuchoki kuangalia,bahati mbaya miaka hii haifanyiki Dsm kwa ile ya uhuru.Ni lini hizi sherehe huwa nzuri,Wanatuonyesha bnduki na mizinga kila siku,mimi zote huwa zinaniboa na mpaka leo maonyesho ya siraha kwenye sherehe hizi zote za kitaifa za chini mwetu huwa sielewi maana yake
Aiseeee!!!!
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .
Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda
Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .
Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda
Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
....Umenikumbusha rafiki yangu fulani akiwa anacheza Draft, basi kete yake ikiingia King anasema: Weka Jamsheed..Sultan Jamsheed
Mkuu sema Thuuuuu !I hate hii misherehe! Mf hii imekula zaidi ya 4B
Ndo mana wenzenu huwa wanaona sio wazalendpHuu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .
Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda
Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
Ile ya wakenya hujaiona? Na hujui kilichotokea, katiba mpya kama haiwezi kusimamiwa kikamilifu ni kazi bure mkuuWatanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana, taifa limegawanyika kabisa.
Kigezo gani kimekufanya utoe kauli ya kudoda?Huu ndio ukweli ulio wazi ambao wengi wameunyamazia .
Kiukweli si Zanzibar kwenyewe wala Tanganyika , si mitandaoni wala pengine popote , Sherehe za Mwaka huu za Mapinduzi matukufu ya Zanzibar zimedoda
Chanzo cha mdororo huu ni nini , na Je kama Taifa tunaelekea wapi ?
Bombadia imedoda[emoji196] [emoji196]Kigezo gani kimekufanya utoe kauli ya kudoda?
Tatizo mnapenda kulazimisha mambo yafeli,ili kufurahisha mioyo yenu,wewe haupo zanzibar,watu juzi wamekesha na fataki zimepigwa,Babu seya,dogo janja na wasanii wengi tu wamepiga shoo
Magufuli,kikwete,mkapa na mwinyi wamehudhuria gwaride,ulitaka Mbowe na sefu wawepo ujue kwamba sherehe zimefana?
Tatizo lako hujitambui, sie tunakuelewa hata itikadi yako. Pambana na hali yakoAcha ubaguzi mkuu , nchi yetu ni moja