Sherehe za Mapinduzi: Fahali wawili hawakai zizi moja

Ukubwa wa pua sio wingi wa mafua.Huwezi kuifanananisha Zanzibar na Shinyanga, ni matusi makubwa. Hebu andika neno Zanzibar , tena kwa kulikosea kwenye chombo chochte cha IT na neno Shinyanga, Chombo hicho kita sahihisha jina la Zanzibar na Shinyanga litapiga mstari kwenye jina la Shinyanga, kwa vile halijuulikani kabisa duniani.

Hivi uliwahi kusikia kwenye uchaguzi mbulu au Shinyanga kupelekwa majeshi, vifaru na mabazooka.? Hivi hujui Zanzibar pia kuwa kuna uchaguzi tena wa Jimbo sio udiwani au mwenyekiti wa kijiji.

Na hao wanaojikita kuchuna watu ngozi na kuwaua Albino bdala ya kuumiza vichwa kwa mambo ya maendeleo unawaambiaje?

Nadhani iliwahi kutokea wakati wa Karume na Nyerere picha zilikuwa haziendi. Kawawa alimuwakilisha lakini waliwekwa mstari wa mwisho nyuma kwenye jukwaa la uwanja wa Amaan.
Rais anahutubia muda huu moja kwa moja kutokea Shinyanga karibu Barghash tumsikilize!
 
Mimi nimeshangaa kwa kweli..mapinduz ya znz inadhimishwa kuwili znz na shinyanga..wonders shall neva end....sasa huko.anaongea abt mapinduz au anaongea na wasukuma...
By the way hii miko itatembelewa lini
Kgm
Rvm
mrgrg
Mtwr
Lindi
arsha
Klm

hiyo mikoa itatembelewa tuu, usiwe na papara. ndio kwanza kabakiza miaka 3 na miezi 10. una haraka utadhani bao la kuku. UKAWA mkubwa weeeeeeeeee.!
 
Katika nchi inayo nchi mbili, Katiba mbili na Amiri jeshi wakuu wawili, leo Itifaki imezingatiwa wakati Amiri jeshi mkuu mmoja kukwepa kuwekwa " back bench" na kumwachia mwenye nchi apokee gwaride rasmi, na mizinga 21 ya heshima.
CCM Oyee , Mapinduzi Daima mbele
Magufuli katumia akili hakuweza kwenda Zanzuibar kwani yeye ndiye amiri jeshi mkuu
Angekuwepo Zanzibar ingebidi aingie yeye mwanzo kabla ya Shein
Shein anapigiwa mizinga
shein anakagua gwaride yeye atakuwa amerudi chini.
hilo kaliona na ndio akakwepa.
 
Kama ndio imani yako kwamba tuna amiri jeshi wawili, basi mwambie huyo mwingine aamrishe majeshi yakaitwange Malawi tuone kama yatatii amri yake.
Mkuu huko umefika mbali sana amwambie huyo mwingine kwa maana ya CNC B Akatoe commission Monduli kisha ampandishe mlinzi wake toka Lt. Colonel KUWA Colonel tuone kama itawezekana.
 
Katika nchi inayo nchi mbili, Katiba mbili na Amiri jeshi wakuu wawili, leo Itifaki imezingatiwa wakati Amiri jeshi mkuu mmoja kukwepa kuwekwa " back bench" na kumwachia mwenye nchi apokee gwaride rasmi, na mizinga 21 ya heshima.
CCM Oyee , Mapinduzi Daima mbele
Kwa hili JPM apewe sifa si vyema kuingilia masuala yao ya ndani.
 
Anavopenda utukufu haitotokea kuhudhuria sherehe za zenji kila mwaka atatoa udhuru
 
Mimi nimeshangaa kwa kweli..mapinduz ya znz inadhimishwa kuwili znz na shinyanga..wonders shall neva end....sasa huko.anaongea abt mapinduz au anaongea na wasukuma...
By the way hii miko itatembelewa lini
Kgm
Rvm
mrgrg
Mtwr
Lindi
arsha
Klm
Dada yangu, JPM Ni Rais wa TANZANIA (Zanzibar na tanganyika). Pahali popote alipo yeye ndiye boss. Kwa hiyo kiukweli angeenda Zanzibar leo alitaliwa awe mgeni rasmi. Kwa vile ana akili akaona ampe shein amwakilishe. Jamani hakuna Kama JPM
 
MAG HAIPENDI ZANZIBAR ...HUWEZI KUACHA KUHUDHURIA SHEREHE ZA MAPINDUZI ETI UHUTUBIE MKUTANO KWENYE MKOA ....
KUMCHAGUA MUUNGAJI MKONO WA SERIKALI TATU POLE POLE NI UJUMBE TOSHAAAA
KUDHARAU KUHUDHURIA MATUKIO YA ZNZ KAMA MAPINDUZI NA PIA HAKUHUDHURIA KUMBUKUMBU YA KARUME JAPO NAYO ALIKUWA CHATO NA AKACHAGUA KWENDA RWANDA ....NI DALILI NYINGINE
AINA YA HOTUBA ALIYOICHAGUA SIKU ALIPOENDA ZNZ NI MSUMARI MWINGINE HAUKUA YA MARIDHIANO
Si unajua kuna "Tanganyika" na Zanzibar na hizi ni nchi mbili tofauti. Shida ni pale ambapo Tanganyika "inavaa koti la muungano". Hilo hata "polepole" analijua.

Sasa mkuu wetu akienda kule na katika sherehe hizo hawi mgeni rasmi tena anakaa nyuma huko. Kwa hiyo kukwepa aibu hiyo anakwenda Simiu. Anajua kuwa yeye hana mamlaka yoyote kule!

Kweli fahali wawili hawakai zizi moja!
 
Nyie UKAWA acheni kujitoa akili. mlishakataa kwamba hakushinda mlishinda nyie, iweje leo mnaanza kujipendekeza eti rais wenu. si muende kwa lowasa wenu huko mkazungushe nae mikono.

huyu ni rais wetu CCM......alaaah.!
Hivi kwenye karne hii ya teknolojia bado kuna watu wenye akili hizi za dark age? inasikitisha sana.
 
Katika nchi inayo nchi mbili, Katiba mbili na Amiri jeshi wakuu wawili, leo Itifaki imezingatiwa wakati Amiri jeshi mkuu mmoja kukwepa kuwekwa " back bench" na kumwachia mwenye nchi apokee gwaride rasmi, na mizinga 21 ya heshima.
CCM Oyee , Mapinduzi Daima mbele
Nafikiri umemsikia mkuu wa nchi kule Shinyanga, so kwa hii mada yako naweza kusema case closed.
Unakaribishwa kuleta vihoja vyako vingine vya Udogo na Ukuu (supremacy).
 
Labda hali ya usalama wake akiwa ZNZ ndio imefanya asiwepo. just thinking loud
 
Shinyanga ni mkoa mkubwa kuliko huo wa Zanzibar so wengi wape.Pili imba nyimbo zote upendavyo lakini amiri jeshi mkuu ni mmoja tu naye ni JPM fullstop!

Amiri jeshi ukuu wake mwisho chumbe!akifika znz yupo mwenye nchi yk hiyo ni kitokana n katiba ya Znz
 
Magufuli ingekuwa ni amri yake angeshavunja muungano .
Hata sasa akiamua inawezekana sana.
Zanzibar ni mzigo.
Tunanyimwa MISAADA kama MCC kwa sababu zao za kutoelewana KISIASA zisizo na msingi!
Tushirikiane tu katika mambo ya Usalama. Jeshi nk .
Mambo mengine kila mtu abebe msalaba wake.
 
Back
Top Bottom