Sherehe za CCM Kutimiza Miaka 33 Zafana - Reading, Uingereza

Yaleyale ya CCM "yenyewe" huko nyumbani.UBISHI na kuona kila anayewakosoa ni adui wa "umoja na mshikamano wa kitaifa (kifisadi)".

Sawa,mie sio mwanachama mwenzenu lakini ni Mtanzania mwenzenu.Na ni kwa minajili hiyo ndio maana nawaeleza matarajio yetu kwenu wana-chama tawala mlio nje ya nchi.Hivi kweli kabisa mnajifanya hamuelewi,kwa mfano,kuwa ishu za rada,richmond,epa,kiwira,nk ni matokeo ya siasa za kulindana ndani ya tanzania?Hivi mnajifanya vipofu wa kufahamu kuwa Tanzania yetu haistahili kuwa hapo ilipo (masikini wa kupindukia) licha ya neema lukuki tulizojaliwa ikiwa pamoja na "upole wa walalahoi wanaoibia raslimali zao mchana kweupe kwa kisingizio cha uwekezaji"?

Uhuru bila wajibu ni upuuzi.Na japo mna uhuru wa kuwa wanachama wa chama chochote kile,hata ingekuwa BNP,lakini mishipa yenu ya aibu (kama ipo na inafanya kazi) inapaswa kuwajibika as well as brains zenu.Kinachowafanya muonekane vituko ni umahiri wenu wa kutuwekea mipicha yenu ya kila kikao badala ya ku-address nini chama chenu kilifanyie taifa.Nyie ni wasaliti wa Watanzania wenzenu.Na msijilinganishe na wana-CCM walioko nyumbani kwa vile wao bado wako kizani.Ninyi mmebahatika kuwa nje ya kiza hicho,lakini unfortunatelymmebakia kuwa so much obsessed na kuonekana kwenye picha mkipeana mikono na viongozi kuliko kusaidia uboreshaji wa CCM from makucha ya mafisadi into chama cha kuwatumikia Watanzania.

Vox populi vox dei,ndugu yangu.Hamjiulizi kwanini wengi wetu tunawashangaa?

Kaka you made my day nimecheka sana hahahaha!!! Umenikumbusha mbali tangu nilipokuwa sekondari safi sana
 
hii sio siasa sio mada ya kisiasa hii ndio maana ilitakiwa kwenye picha sasa unataka kijadiliwe nini kama umeficha hata jina lako kudefend ulichoandika kwamba mkutano umefana kwa yepi

Shy,

Haha haa haa...maelezo ya hizo picha yanajieleza vizuri kabisa.
 
Yaleyale ya CCM "yenyewe" huko nyumbani.UBISHI na kuona kila anayewakosoa ni adui wa "umoja na mshikamano wa kitaifa (kifisadi)".

Sawa,mie sio mwanachama mwenzenu lakini ni Mtanzania mwenzenu.Na ni kwa minajili hiyo ndio maana nawaeleza matarajio yetu kwenu wana-chama tawala mlio nje ya nchi.Hivi kweli kabisa mnajifanya hamuelewi,kwa mfano,kuwa ishu za rada,richmond,epa,kiwira,nk ni matokeo ya siasa za kulindana ndani ya tanzania?Hivi mnajifanya vipofu wa kufahamu kuwa Tanzania yetu haistahili kuwa hapo ilipo (masikini wa kupindukia) licha ya neema lukuki tulizojaliwa ikiwa pamoja na "upole wa walalahoi wanaoibia raslimali zao mchana kweupe kwa kisingizio cha uwekezaji"?

Uhuru bila wajibu ni upuuzi.Na japo mna uhuru wa kuwa wanachama wa chama chochote kile,hata ingekuwa BNP,lakini mishipa yenu ya aibu (kama ipo na inafanya kazi) inapaswa kuwajibika as well as brains zenu.Kinachowafanya muonekane vituko ni umahiri wenu wa kutuwekea mipicha yenu ya kila kikao badala ya ku-address nini chama chenu kilifanyie taifa.Nyie ni wasaliti wa Watanzania wenzenu.Na msijilinganishe na wana-CCM walioko nyumbani kwa vile wao bado wako kizani.Ninyi mmebahatika kuwa nje ya kiza hicho,lakini unfortunatelymmebakia kuwa so much obsessed na kuonekana kwenye picha mkipeana mikono na viongozi kuliko kusaidia uboreshaji wa CCM from makucha ya mafisadi into chama cha kuwatumikia Watanzania.

Vox populi vox dei,ndugu yangu.Hamjiulizi kwanini wengi wetu tunawashangaa?

Mkuu nimemaanisha haki ya "kuwafanyia maamuzi" lakini mapendekezo yako kama Mtanzania nina imani wanayasoma hapa.

Wengi watakubali na wengi watapinga, mimi nakubali ukweli huo.
 
S.S Phares, nadhani Mlalahoi kamalizia ambalo nimeshindwa kuliandika/kulisema.

Kinachowauma wengi wanaochangia thread, ni baadhi ya waungwana mlioko majuu kutaka kutuaminisha kwamba mnaingia CCM mkiwa agents of change, yet mnajitahidi sana kulinda status quo iliyopo ambayo ni ufisadi na kukosa vision ya kuwaongoza watanzania watoke katika lindi la umasikini. Umeshawahi kusikia hayo matawi wananchama na uongozi..wakiuliza what went wrong with EPA, RICHMOND et al? and these are seemingly agents of change in New World!

Yeyote anayesema kwamba ni CCM..its his or her right. Lakini ukweli..wananchi (akina Mlalahoi na Masanja na wengineo), ambao na sisi tulibahatika kuiona real democracy in action kama nyinyi huko majuu, tunaona mnatuuzia chai ya rangu tuu kusudi na nyinyi mpewe slice ya kitumbua cha akina Sofia Simba na Hawa Ghasia.

Hitimisho langu. Najua fika kwamba si wote ambao wako nje wako kwenye ngalawa moja na akina Makamba na Msekwa. Naamini wapo wengi ambao wangependa kuona iwe CCM, CUF au yeyote..anatuongoza watanzania katika juhudi zetu za kujiletea maendeleo. What I see in wana CCM wa UK..ni muendelezo ule ule wa status quo ya akina Lowassa na Rostam.

By the way, let me be honest: Kama mpiga kura. Nikijua kwamba mgombea wangu ametoka UK au kwingineko (no pun intended Mtanzania . Kweli nitafikiria mara mbili mbili kabla sijampa kura yangu! It pains lakini mara mia ukae na hawa hawa akina Zitto et al.
 
kama kweli wanaipenda Nchi yao basi wasememane ukweli juu ya mambo mengi ya kifisadi yanayoendelea kwenye Taifa kwa sasa, haina maana kushabikia sana mamba kama haya
 
kama kweli wanaipenda Nchi yao basi wasememane ukweli juu ya mambo mengi ya kifisadi yanayoendelea kwenye Taifa kwa sasa, haina maana kushabikia sana mamba kama haya

Ndio maana kaka nikauliza maswali matatu kwa bwana sijui bibi phares:-

a. Walikuwapo wapi siku zote wajiunge CCM ukubwani tena ughaibuni???
b. Je nyie ni wazalendo? Kama ndio kwanini msirudi Tanzania kuja kuhangaika na sie mapunda kuijenga nchi yetu???
c. Je historia inasemaje kwa watu kama nyie? Mnajitofautishaje na waliopita?

Niliwahi kukutana na jamaa mmoja nasikia anafundisha mathematics ulaya akanambia eti Tanzania hapamfai!! Nikamuuliza je huoni kama unalirudisha taifa lako nyuma kwani somo la hisabati halina wafundishaji let alone watu wenye Phd hakunijibu anabaki kucheka. Jamani kama mmechoka kufanya kazi za punda tunawakaribisha bongo tambarare tu na umaskini wetu otherwise mkitaka kuwa mafisadi kaeni na ufisadi wenu hatuwataki
 
Hebu tusaidiane mawazo kwenye hili Mkuu sababu mimi linaniumiza kichwa.
Hawa Watanzania walio nje; hawana shida ya maji, umeme, usafiri, n.k lakini kwa kuzingatia uhuru na busara zao wameamua kujiunga pamoja na kusheherekea kuzaliwa kwa CCM.
Watanzania wengi walioko Dar-es-salaam wana shida ya maji, umeme, usafiri n.k na wao pia kwa uhuru wao wameipigia 2005 wameipigia kura CCM katika viti vyote vya Ubunge.
Ni Watanzania wa upande gani wanastahili pole kati ya hawa?
Tusaidiane mawazo mkuu bila jazba.
Mimi nadhani ukiwa na mtizamo mpana unaweza kujijibu kirahisi swali lako.

1. Nyumbani ni nyumbani, akimbiaye nyumbani huwa mtumwa ugenini. Hivyo pamoja na wakati mwingine kuwa ni opportunity kuwepo majuu lakini home kungekuwa kuzuri ni furaha kubwa zaidi kutumika nyumbani. (Hapa nani anahitaji pole)


2. Hawa walioko majuu wengi wao wamevuka vihunzi vingi vingi hadi kufikia hukom wengine wakiwa hata wamejilipua kuwa ni wasomali na wanyaraunda, kwa kuwa tu maisha nyumbani hayaendi. (Hapa nani anahitaji pole)


3. Walioko nje wameona uhalisia wa maisha na sio masimulizi tu. Wanajua jinsi jasho linavyohitaji kukutoka ili mkono uende kinywani na pia uweze kulipa bills ambazo huwezi kulala mbele kama Tz. Wanaifahamu pia hali ya homa na mambo yanavyoendeshwa kizembe-zembe. (Hapa nani anahitaji pole)


4. Wengine walioko huko ni kutokana na jasho la watanzania, ama kihalali au kifisadi. Jiulize watoto wa mafisadi wengi wako wapi? Sio kwa kuwa tu wana akili ila pia kwa kuwa baba zao wamekwapua na kuwafanya waweze kuishi maisha ya kifahari huku wakisafiri kutoka mji mmoja kwenda mwingine kwa first class. Wakati huo huo ndio washika dau wakubwa wa ccm ughaibuni, hapa utajiuliza naye aliyejilipua au anaebeba box hapa anafanya nini. (Hapa anahitaji pole)


5. Vijijini na mijini Tanzania wapo wengi wanayaona maisha ndio yamekwiva, miaka ya nyuma kulikuwa akuna mobiteli siku hizi vya kumwaga, mjini wanakula chipsi kuku n.k. Kwa upeo wao wapo katika mwendo na maendeleo wanayaona kwani hawana pa kulinganishia. Si hata huko Kenya na Malawi wanadhani ni kama kaulaya kengine kadogo? (Hapa anahitaji pole)

**Sasa kama hao walioona hadi ulaya ndio wanaofanya hivi, hawa waliobaki hapa Tz wafanye je? manake wanabaki wakifikiri kuwa sasa maisha ya Tz karibia yatafana na UK!**

Ukweli nimechoka!
I call it a shame
 
S.S Phares, nadhani Mlalahoi kamalizia ambalo nimeshindwa kuliandika/kulisema.
Kinachowauma wengi wanaochangia thread, ni baadhi ya waungwana mlioko majuu kutaka kutuaminisha kwamba mnaingia CCM mkiwa agents of change, yet mnajitahidi sana kulinda status quo iliyopo ambayo ni ufisadi na kukosa vision ya kuwaongoza watanzania watoke katika lindi la umasikini. Umeshawahi kusikia hayo matawi wananchama na uongozi..wakiuliza what went wrong with EPA, RICHMOND et al? and these are seemingly agents of change in New World!

Yeyote anayesema kwamba ni CCM..its his or her right. Lakini ukweli..wananchi (akina Mlalahoi na Masanja na wengineo), ambao na sisi tulibahatika kuiona real democracy in action kama nyinyi huko majuu, tunaona mnatuuzia chai ya rangu tuu kusudi na nyinyi mpewe slice ya kitumbua cha akina Sofia Simba na Hawa Ghasia.

Hitimisho langu. Najua fika kwamba si wote ambao wako nje wako kwenye ngalawa moja na akina Makamba na Msekwa. Naamini wapo wengi ambao wangependa kuona iwe CCM, CUF au yeyote..anatuongoza watanzania katika juhudi zetu za kujiletea maendeleo. What I see in wana CCM wa UK..ni muendelezo ule ule wa status quo ya akina Lowassa na Rostam.

By the way, let me be honest: Kama mpiga kura. Nikijua kwamba mgombea wangu ametoka UK au kwingineko (no pun intended Mtanzania . Kweli nitafikiria mara mbili mbili kabla sijampa kura yangu! It pains lakini mara mia ukae na hawa hawa akina Zitto et al.

Mkuu Masanja na Mlalahoi et al,

Ninakubaliana na nyie kuwa Wana CCM wa UK (na wengine popote pale walipo) wana wajibu wa kupeleka chachu ya mabadiliko Nyumbani. Wengi wenye hoja hapa JF wako disapointed kwa sababu wanaona juhudi za kuleta hayo mabadiliko zinakwenda taratibu au pengine haziendi kabisa. Hiyo ni challenge kwa kwao. Haya mnayoyaandika hapa wanayaona na kuyasoma, clearly wana kazi kubwa mbele yao.


Kinachonisikitisha ni kuona jinsi wengi waliochangia hapa wanaleta kejeli na jazba. Hizo hizo hasitasaidia lolote, kwa sababu mabadiliko yanakuja hatuwezi kuyazuia...tena yanakuja bila FOMULA. Hili la kuwa na matawi nje ni moja wapo tu....kama kuna hoja pingeni kwa hoja. Wana CCM wa UK ni Watanzania kama nyie, sasa mnapokuwa na jazba inakuwa kama mnawaonea aibu au even worse kuwaogopa...!!

Niishie hapa.
 
Kama kuongelea Siasa za Tanzania basi siasa zenyewe zipo kwenye ardhi usika (Tanzania) ni kitu ambacho Mtanzania sasa nadhani anaanza kukielewa hii geresha tuu. Hila if im honest picture yenye new member imekaa wasomi wasomi kuliko wale ndugu niwajuao mimi.

Kama ni previlege by birth itaendelea kua kama iiivyo, watoto wa vigogo aitofautishi walipo duniani time yao ikifika huwa wanarudishwa bila hata ya kuchukua kadi za CCM ulaya sasa hata sioni kelele za nini.

Halafu mna lalamikia CCM, kwanza upinzani wenyewe una demoralize wengi. Kumbukeni hawa jamaa wameenda shule bure huku na vyuo vya kueleweka, sio kama marekani sasa mnapotuma post za chama upinzani halafu mkaanza kunyonyoana wenyewe kwa wenyewe sidhani hawa kama ni wale 70% ya watanzania muajuao. This are reasonable individual amini kuna madogo wakianza kumwaga arguments inabidi ukae imara.

Halafu una expect watu hawa leo wanunue chadema huku Mwafrika anaenda tukana dini kwenye thread zingine ni upinzani huo huo unaoonesha bado aujakomaa kisiasa, people read and interpret the meaning sio kama mnavyozani kwamba watu ni bendera tu kulingana na siasa zenu.

Vile vile watu wanajua kwa yule kaka alitoa mfano wa jamaa anaefundisha hesabu do you know how they value walimu wao wa vyuo especially kama hatakua wahisabu na wao wanajua ni wachache wanaochukua degree hizo na kubaki walimu based on the competitive work market ya high scholars, sasa tanzania si mta mpa shahara mbuzi tu in comparable na mumuone hana mchango mkumbwa kwenye jamii yenu.

Na kweli so far watu wanaojitahidi kurudi ni wale wenye connection flani, lakini msiwalaumu wasiotaka kurudi kwa kuwa people have learned not gamble with uncertainity kitu ambacho Tanzania ina offer to many scholars. Sasa lazima muangalie na fikra za wenzenu kabla ya kuanza kuwashutumu wajamaa.
 


Mkuu Masanja na Mlalahoi et al,

Ninakubaliana na nyie kuwa Wana CCM wa UK (na wengine popote pale walipo) wana wajibu wa kupeleka chachu ya mabadiliko Nyumbani. Wengi wenye hoja hapa JF wako disapointed kwa sababu wanaona juhudi za kuleta hayo mabadiliko zinakwenda taratibu au pengine haziendi kabisa. Hiyo ni challenge kwa kwao. Haya mnayoyaandika hapa wanayaona na kuyasoma sina, clearly wana kazi kubwa mbele yao.


Kinachonisikitisha ni kuona jinsi wengi waliochangia hapa wanaleta kejeli na jazba. Hizo hizo hasitasaidia lolote, kwa sababu mabadiliko yanakuja hatuwezi kuyazuia...tena yanakuja bila FOMULA. Hili la kuwa na matawi nje ni moja wapo tu....kama kuna hoja pingeni kwa hoja. Wana CCM wa UK ni Watanzania kama nyie, sasa mnapokuwa na jazba inakuwa kama mnawaonea aibu au even worse kuwaogopa...!!

Niishie hapa.

Nyie ni watanzania au wakongo au wasomali au waguinea au wasudan au nani!!! Wengine nasikia wameshakuwa na passport za kiingereza kwanza jiulize hilo swali. Na je nyie ni wazalendo???

Mabadiliko hatukatai na yaje kwani ni kama upepo unavuma na kupwaa but mabadiliko yenye natija ya kuharibu maendeleo na mafanikio ya nchi yetu hatuyataki ndio maana nikawauliza nyie wazalendo????
 
Kama kuongelea Siasa za Tanzania basi siasa zenyewe zipo kwenye ardhi usika (Tanzania) ni kitu ambacho Mtanzania sasa nadhani anaanza kukielewa hii geresha tuu. Hila if im honest picture yenye new member imekaa wasomi wasomi kuliko wale ndugu niwajuao mimi.

Kama ni previlege by birth itaendelea kua kama iiivyo, watoto wa vigogo aitofautishi walipo duniani time yao ikifika huwa wanarudishwa bila hata ya kuchukua kadi za CCM ulaya sasa hata sioni kelele za nini.

Halafu mna lalamikia CCM, kwanza upinzani wenyewe una demoralize wengi. Kumbukeni hawa jamaa wameenda shule bure huku na vyuo vya kueleweka, sio kama marekani sasa mnapotuma post za chama upinzani halafu mkaanza kunyonyoana wenyewe kwa wenyewe sidhani hawa kama ni wale 70% ya watanzania muajuao. This are reasonable individual amini kuna madogo wakianza kumwaga arguments inabidi ukae imara.

Halafu una expect watu hawa leo wanunue chadema huku Mwafrika anaenda tukana dini kwenye thread zingine ni upinzani huo huo unaoonesha bado aujakomaa kisiasa, people read and interpret the meaning sio kama mnavyozani kwamba watu ni bendera tu kulingana na siasa zenu.

Vile vile watu wanajua kwa yule kaka alitoa mfano wa jamaa anaefundisha hesabu do you know how they value walimu wao wa vyuo especially kama hatakua wahisabu na wao wanajua ni wachache wanaochukua degree hizo na kubaki walimu based on the competitive work market ya high scholars, sasa tanzania si mta mpa shahara mbuzi tu in comparable na mumuone hana mchango mkumbwa kwenye jamii yenu.

Na kweli so far watu wanaojitahidi kurudi ni wale wenye connection flani, lakini msiwalaumu wasiotaka kurudi kwa kuwa people have learned not gamble with uncertainity kitu ambacho Tanzania ina offer to many scholars. Sasa lazima muangalie na fikra za wenzenu kabla ya kuanza kuwashutumu wajamaa.

Mkubwa zote ni point za msingi kabisa but labda nianzie kujibu pointi ya scholars kwani huyu jamaa hawezi kuwa visiting scholar wa UDSM au Tumaini au wapi akawa anatoa mchango wake kwa Taifa si lazima afundishe Tanzania but anaweza kuwa anasaidia taifa lake kwa namna mmoja au nyengine mbona wachina wanafanya hivyo sie watanzania tuko wapi!!!

Ni kweli siasa za tanzania ni za geresha but unadhani dola ya warumi au dola ya farao ilikaa milele?? Kuna watu watatokea kuibadilisha hiyo hali tu kama hatujaona sie wataona vizazi vyetu but kusema kwamba siasa za tanzania ni geresha hivyo uiache sidhani kama itasaidia kwani hujalikomboa taifa lako. Kennedy anakuambia be part of the solution. Kuliacha taifa likaenda kombo sidhani kama utakuwa umelisaidia taifa lako bali umechangia kuangamia.

Tuje katika CCM UK kwanini msijiunge na chadema cuf au muwe independent kama mie sina chama? Badala yake mnajazana katika Chama Tawala kunani!!!
 
Mkubwa zote ni point za msingi kabisa but labda nianzie kujibu pointi ya scholars kwani huyu jamaa hawezi kuwa visiting scholar wa UDSM au Tumaini au wapi akawa anatoa mchango wake kwa Taifa si lazima afundishe Tanzania but anaweza kuwa anasaidia taifa lake kwa namna mmoja au nyengine mbona wachina wanafanya hivyo sie watanzania tuko wapi!!!

Ni kweli siasa za tanzania ni za geresha but unadhani dola ya warumi au dola ya farao ilikaa milele?? Kuna watu watatokea kuibadilisha hiyo hali tu kama hatujaona sie wataona vizazi vyetu but kusema kwamba siasa za tanzania ni geresha hivyo uiache sidhani kama itasaidia kwani hujalikomboa taifa lako. Kennedy anakuambia be part of the solution. Kuliacha taifa likaenda kombo sidhani kama utakuwa umelisaidia taifa lako bali umechangia kuangamia.

Tuje katika CCM UK kwanini msijiunge na chadema cuf au muwe independent kama mie sina chama? Badala yake mnajazana katika Chama Tawala kunani!!!
Hawawezi kukupa jibu la maana lazima watakupa la ubabaishaji tu hawa.
Eti ni hawa hawa wanaotaka tuwape na uraia wa nchi mbili. ahahahahahahahahah tutakwisha!
Kuna kaharufu ka ufisadi tu kanawasumbua. Hakuna lingine. Maana hakuna mtanzania mwenye uchungu na nchi hii anaweza ikimbilia sisiemu kama wanavyofanya hawa waingerezatanzania.
 
Mimi nadhani ukiwa na mtizamo mpana unaweza kujijibu kirahisi swali lako.

....
**Sasa kama hao walioona hadi ulaya ndio wanaofanya hivi, hawa waliobaki hapa Tz wafanye je? manake wanabaki wakifikiri kuwa sasa maisha ya Tz karibia yatafana na UK!**

Ukweli nimechoka!
I call it a shame


Heshima mbele Nono,

Binafsi nakubali, nyumbani ni nyumbani tu...Kwa hili mkuu tuko ukurasa mmoja asilimia mia. Haikuwa nia yangu kumaanisha vinginevyo hata kidogo...naomba nieleweke hivyo.
 
Matukio yalivyojiri katika picha...

attachment.php


Mhe Pius Msekwa akihutubia wageni na wanachama wa CCM Tawi la Uingereza.

attachment.php


Wageni waalikwa na wanachama wa CCM wakimkiliza kwa makini mgeni rasmi, Mhe Pius Msekwa.

attachment.php


Mgeni rasmi Mhe Pius Msekwa akitoa mkono wa pongezi na karibu kwenye Chama Cha Mapinduzi kwa baadhi ya Viongozi/ Wanachama wapya.

attachment.php


Mhe Pius Msekwa akikabithi vitendea kazi kwa viongozi wapya wa Mashina mapya ya CCM ya London East na South.

attachment.php


Mhe Msekwa akiwa kwenye picha ya pamoja na wanachama wapya wa CCM Tawi la Uingereza.



Huyu dada fat akirudi Tanzania,SISIEM inaweza kumtuza kwa kumpa
Ubunge maalam,au mkuu wa wilaya etc.Maana kila pahali yupo na mwenzake yule wa Reading,SM ambaye shughuli zake ja chama ni London
 
Huyu dada fat akirudi Tanzania,SISIEM inaweza kumtuza kwa kumpa
Ubunge maalam,au mkuu wa wilaya etc.Maana kila pahali yupo na mwenzake yule wa Reading,SM ambaye shughuli zake ja chama ni London

Mmakonde kumwita mtu kwa umbile si vizuri kwani hakuomba hilo ni majaaliwa yake mola. Ila ishu ni kunani mkajazane CCM!!! Huyo Suzanne Mushi tulikaa siku moja akawa anasema anajiandaalia mazingira ya kwenda kukitumikia chama unajiuliza anaenda kufanya nini? Jibu utapata ni kwamba muda si mrefu tutasikia muheshimiwa Suzanne Mushi. Sasa ukiangalia unaona wote hawa wanajipeleka CCM kwa tamaa zao za kuyakatia maisha short cut baada kuchoka na kukosha vibibi sasa wanatafuta pa kutokea kimaisha hawana lao moja kuwasaidia wananchi huo ndio ukweli tusidanganyane
 
Mkubwa zote ni point za msingi kabisa but labda nianzie kujibu pointi ya scholars kwani huyu jamaa hawezi kuwa visiting scholar wa UDSM au Tumaini au wapi akawa anatoa mchango wake kwa Taifa si lazima afundishe Tanzania but anaweza kuwa anasaidia taifa lake kwa namna mmoja au nyengine mbona wachina wanafanya hivyo sie watanzania tuko wapi!!!

Ni kweli siasa za tanzania ni za geresha but unadhani dola ya warumi au dola ya farao ilikaa milele?? Kuna watu watatokea kuibadilisha hiyo hali tu kama hatujaona sie wataona vizazi vyetu but kusema kwamba siasa za tanzania ni geresha hivyo uiache sidhani kama itasaidia kwani hujalikomboa taifa lako. Kennedy anakuambia be part of the solution. Kuliacha taifa likaenda kombo sidhani kama utakuwa umelisaidia taifa lako bali umechangia kuangamia.

Tuje katika CCM UK kwanini msijiunge na chadema cuf au muwe independent kama mie sina chama? Badala yake mnajazana katika Chama Tawala kunani!!!

Mkuu kuna namna nyingi watu tunaweza saidia taifa letu, si wote tunalilia siasa hila kuna sehemu nyingi za maendeleo zimekwama kutokana na siasa mbovu na viongozi wabovu, mi si mwanachama wa CCM hila pana kipindi nilidahni nikipata shati la Kijani litapunguza hassle airport kwa kuwa sikusafiri na shati lenyewe sijui liko wapi tena.

Na argument ya huyo kaka mwalimu si kwamba namtetea, hila 'kaka' unacho suggest ni kwamba aweke uzalendo mbele, itakuwa ngumu kwake huyu kuja kufundisha iwapo anaona waanafunzi wananyima certain quality hili waendelee vizuri kwani atakuwa anaelewa what it takes kutoa elimu yenye quality.

Hivyo hizo nchi ulizotaja hata wajapan not long ago walikuwa wanawapa wasomi wao sababu za kurudi, guarantee ya maisha bora ikiwa ni moja wapo. Mimi nakumbuka Jirani yetu alikuwa ni Dr na mkewe ni head of 'matron' and 'midwives' Muhimbili. Serikali inawaweka kwenye two bed flat na jamaa wana watoto wanne the eldest being 17 at the time the young 5. Mwinyi alivyoingia tu madarakani na wao wakaenda Canada na ni kipindi hichi mlimani kilipoteza wasomi wake wengi kuelekea the same destination.

Sasa these people know, the benefit offered to them where they gained their qualifications. Iweje fisadi tu lililokuwa na moderate education na kupachikwa sehemu ambayo inaweza kuwa occupied na majority of people aishi bora, kuliko daktari ambae anachukua muda kumtengeneza aje aishi kama sakapoko.

Its ridiculous na amna namna ya kulitetea hili, mpaka jamaa wajue umuhimu wa hawa watu, na huwa mara nyingi hawapo wengi in society as its hards to train them. Hivyo kipaumbele ni muhimu. Hivyo ndivyo unavyo encourage wasomi warudi.

Na mwisho wapo washabiki wa CUF chungu mtele hila ni kama wa tanzania tu, more to do with islanders na kuhusu vyama vingine CCM ina promote wao upinzani wana-promote kwani. In my opinion Zitto alikuwa mtu wakuwasaidia ku-lure alot of young minds lakini it seems ni shetani within Chadema.
 
Mkuu kuna namna nyingi watu tunaweza saidia taifa letu, si wote tunalilia siasa hila kuna sehemu nyingi za maendeleo zimekwama kutokana na siasa mbovu na viongozi wabovu, mi si mwanachama wa CCM hila pana kipindi nilidahni nikipata shati la Kijani litapunguza hassle airport kwa kuwa sikusafiri na shati lenyewe sijui liko wapi tena.

Na argument ya huyo kaka mwalimu si kwamba namtetea, hila 'kaka' unacho suggest ni kwamba aweke uzalendo mbele, itakuwa ngumu kwake huyu kuja kufundisha iwapo anaona waanafunzi wananyima certain quality hili waendelee vizuri kwani atakuwa anaelewa what it takes kutoa elimu yenye quality.

Hivyo hizo nchi ulizotaja hata wajapan not long ago walikuwa wanawapa wasomi wao sababu za kurudi, guarantee ya maisha bora ikiwa ni moja wapo. Mimi nakumbuka Jirani yetu alikuwa ni Dr na mkewe ni head of 'matron' and 'midwives' Muhimbili. Serikali inawaweka kwenye two bed flat na jamaa wana watoto wanne the eldest being 17 at the time the young 5. Mwinyi alivyoingia tu madarakani na wao wakaenda Canada na ni kipindi hichi mlimani kilipoteza wasomi wake wengi kuelekea the same destination.

Sasa these people know, the benefit offered to them where they gained their qualifications. Iweje fisadi tu lililokuwa na moderate education na kupachikwa sehemu ambayo inaweza kuwa occupied na majority of people aishi bora, kuliko daktari ambae anachukua muda kumtengeneza aje aishi kama sakapoko.

Its ridiculous na amna namna ya kulitetea hili, mpaka jamaa wajue umuhimu wa hawa watu, na huwa mara nyingi hawapo wengi in society as its hards to train them. Hivyo kipaumbele ni muhimu. Hivyo ndivyo unavyo encourage wasomi warudi.

Na mwisho wapo washabiki wa CUF chungu mtele hila ni kama wa tanzania tu, more to do with islanders na kuhusu vyama vingine CCM ina promote wao upinzani wana-promote kwani. In my opinion Zitto alikuwa mtu wakuwasaidia ku-lure alot of young minds lakini it seems ni shetani within Chadema.

Muungwana kwahivyo unatuambia wadogo zetu au vijana wetu wakienda kusoma ulaya walale mbele sio? Nchi yetu je itaendelea? Na kama hawa wameenda ulaya na kuamua kulala mbele sasa kitu gani kinachowapelekea kushirikia katika politics za Tanzania kwanini wasijiandikishe na kufanya mikutano ya Labour, Conservative au even BNP wanang'ang'ana na CCM vp?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom