Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Kaka kuna makundi mengi ya watanzania ugenini yanayokuja kwa sababu tofauti. Idadi ya watanzania waliopo UK kwa kweli ni wengi mno, wengine hata shughuli na habari na utanzania hawana kabisa kwa sababu zao wazijuao wao za maisha yao.Muungwana kwahivyo unatuambia wadogo zetu au vijana wetu wakienda kusoma ulaya walale mbele sio? Nchi yetu je itaendelea? Na kama hawa wameenda ulaya na kuamua kulala mbele sasa kitu gani kinachowapelekea kushirikia katika politics za Tanzania kwanini wasijiandikishe na kufanya mikutano ya Labour, Conservative au even BNP wanang'ang'ana na CCM vp?
Mwi mwenywe nilikua nam-google former best wangu ndio nikafuma hii forum alikuwa na post humu jinga yule kutumia jina lake.
Back to the point ni kwamba sisemi watu wasirudi, hila inabidi watu waje kwa madhumuni ya kujenga taifa. Na mimi in person siwajui wengi walioingia hii miaka ya karibuni hila najua kuna wengi ambao hata wamenizidi kielimu ni kwamba sasa wana tough decision waache mishahara yao ambayo ni guaranteed mpaka atakapofika retirement age au aje gamble na nyumbani.
Hawa ni watu ambao shughuli za kisiasa kwao ata kuzitaka hawataki, bali siasa mbovu zina wafanya wafikirie mara mbili kurudi hiwe kibiashara ushuru wa ajabu port na ndani, hiwe uandishi limitations zilizopo, hiwe other social sectors such as NGO's aje akerwe na ushenzi mumnyanyase, in short ni watu ambao wanafikiria namna ya kulisaidia taifa kwa mchango mwingine hila bureucracy ndio inayowatisha na mimi naweza nikajiweka kwenye kundi hili.
na nikifikiria what i can achieve kama nikikakama hapa nilipo naona its only worth kujenga kibanda changu cha kuja kulala ninapokuja kulikoni kuingia kwenye mchezo wa tamaa na ubabe.