Sherehe ya Kichuguu Kufikisha Miaka 11 Jamii Forums

Sherehe ya Kichuguu Kufikisha Miaka 11 Jamii Forums

Kongole Kichuguu. Old is Gold. Tunakosa nondo zako za enzi zile mkuu. Ila hawa wachafuzi wa JF sijui tuwachukulie hatua gani,maana wanakera sana wanapotukosesha elimu toka kwa akina Kichuguu kama enzi zile. Ningefurahi sana ladha ya Jambo Forums/Jamii ya 2006/7 irudi upya. Tufanye nini?
 
Hongera babu..
Mm nimekufaham kupitia post za tukio la Entebe.. kwa uzi wa the bold nikaona ww ni bonge la babu lenye hekima sana Hongera sana kama upo dar usisite kunialika..
Asante sana; ni kweli kuwa mimi ni mmoja wa wazee wa hapa JF tuliolizesha jukwaa hili kuwa zito sana enzi zile. Siku hizi kuna watu wanaangika pumba sana kiasi cha kufanya JF lisiewe jukaa la kuelimishana. Kwa bahati mbaya siko Dar, bali mwaliko wangu utaupata kwani huenda nikakutumia kinywaji kwa email.
 
Asante sana; ni kweli kuwa mimi ni mmoja wa wazee wa hapa JF tuliolizesha jukwaa hili kuwa zito sana enzi zile. Siku hizi kuna watu wanaangika pumba sana kiasi cha kufanya JF lisiewe jukaa la kuelimishana. Kwa bahati mbaya siko Dar, bali mwaliko wangu utaupata kwani huenda nikakutumia kinywaji kwa email.
Imebidi jana nikapitia post zako za nyuma kadhaa nizifufue aisee, hv una miaka mingap kwa sasa?
Mm sina Email aise ila kichwani upo vzr mzee..
 
Ni siku kumi na moja zimebaki kutimiza miaka kumi na moja kamili. Kwa sasa hivi niko bize nagema mnazi na ulanzi. Nimeshaweka asali ya kutosha kwa ajili ya wanzuki na ndizi za kutosha kwa ajili mbege. Hata hivyo bado niko nyuma kidogo kuhusu ulaka, dengelua, mataputapu na kimpumu. Nimepata nyama ya nyumbu mmoja ingawa ninataka mbogo wawili. Nadhani yote yatakamilika bila wasiwasi wowote, wewe ni-PM tu nitakutumia shea yako kwa email!
 
Ni siku kumi na moja zimebaki kutimiza miaka kumi na moja kamili. Kwa sasa hivi niko bize nagema mnazi na ulanzi. Nimeshaweka asali ya kutosha kwa ajili ya wanzuki na ndizi za kutosha kwa ajili mbege. Hata hivyo bado niko nyuma kidogo kuhusu ulaka, dengelua, mataputapu na kimpumu. Nimepata nyama ya nyumbu mmoja ingawa ninataka mbogo wawili. Nadhani yote yatakamilika bila wasiwasi wowote, wewe ni-PM tu nitakutumia shea yako kwa email!
mkuu hivi nyi ma platinum hamuwezi kuwashauri JamiiForums jinsi ya kurudisha hadhi ya forum maana naona sasa wapo kibiashara zaidi wanataka iwe kama facebook porojo tu zimejaa humu
 
Ni siku kumi na moja zimebaki kutimiza miaka kumi na moja kamili. Kwa sasa hivi niko bize nagema mnazi na ulanzi. Nimeshaweka asali ya kutosha kwa ajili ya wanzuki na ndizi za kutosha kwa ajili mbege. Hata hivyo bado niko nyuma kidogo kuhusu ulaka, dengelua, mataputapu na kimpumu. Nimepata nyama ya nyumbu mmoja ingawa ninataka mbogo wawili. Nadhani yote yatakamilika bila wasiwasi wowote, wewe ni-PM tu nitakutumia shea yako kwa email!
Hongera sana....Wewe ni ajuza wa JF

Nimesikitika kwenye list ya Vitowewo hujaweka Kitimoto
 
Nia ya post hii ni kuomba ushauri wa kusherehekea siku hiyo ambayo ni kama miezi sita ijayo. Tafadhali nipe maoni yako kuhusu mambo mazuri ya kufanya kuhusu kumbukumbu ya siku hiyo. Ninaamini kuwa uanachama wangu hapa ulichangia kwa namna fulani kuwepo kwa mada za kuelimisha, kukosoa na hata za pumba. Samahani sana kwa zile mada zangu za pumba, naomba mwelekeo wa mbeleni.

.
Hongera sana kwa kuwepo hapa kwa muda huo mrefu.

Nikikumbuka miaka ya nyuma, kila nikiiona 'avatar', 'username' na 'signature' yako, mawazo yalinijia, niliwaza sana kuhusu kuchuguu katika mtazamo wa kiuhandisi (structure). Hivi ni nini kilikufanya ujitambulishe kama kichuguu? Je, kuna kahadithi unaweza kutusimulia?

Mimi naomba katika kusheherekea miaka yako 11, tuandalie mada inayohusu kichuguu, mchwa na nguchiro ili tupate maarifa zaidi.
 
Back
Top Bottom