Shemeji yenu kisirani

Shemeji yenu kisirani

Mpe pesa, wewe mpe pesa, endelea kumpa pesa tuu atabadilika.
 
Endelea kubembeleza si ulimpenda mwenyewe

Mnatubania vijana agemate wetu .Wakati nyie umri umeshafika alasiri.hahahh
 
Natamani nipate mume wakunibembeleza mimi wengine kumbe wanao wanawachezea.......
 
Haa haa kwan ana umri gan labda kama ni chini ya 23 inabidi uvumilie vya kutosha wengi wao hapo hawajajitambua bado utoto mwingi mkula.
 
akikutibua bembeleza tu maana hakuna namna nyingine.........huyoo ni chaguo lako,,,,,chaguo lakooo hata kama ni kisiraniiiii.....ngoja nikameze yai bichi nirudi sauti imekata
 
Mi nilijua ukioa mwanamke uliye mpita umri mkubwa ndo anakuwa na upendo na utiifu kupita mmwanamke ambaye unalingana au kipishana kidogo. Kumbe wote pasua kichwa, inabidi Manual ya jinsi ya kuishi na mwanamke inabd ipatikane
 
Dawa moja, stop caring hivyo visiran vyake. Atajiweka sawa na kujirudi mwenyew.
Akinuna nuna hovyo, bila ishu ya msingi mind ur ishu fanya jambo lingine, weka movie, music,chukua kitabu soma. Kama ndo mchana, mwambie unatoka kidgo.

Na hii ni dawa yao wadekaji wote wenye visirani. Dawa ni kumpuuza tu hakuna kubembeleza hata anuneje. Mwisho wa siku atajirudi.
 
Endelea kubembeleza si ulimpenda mwenyewe

Mnatubania vijana agemate wetu .Wakati nyie umri umeshafika alasiri.hahahh

Wanawake wote hawa unabaniwa nini? na unajuaje kama huyo dada ni agemate wako? kama mtoa mada ndo agemate wako?
 
Back
Top Bottom