Shemeji yenu kisirani

Shemeji yenu kisirani

Ndiyo kudeka kutazidi kupita kiasi, saa 7 na nusu za usiku, "baby nina hamu na mafenesi, mapera mabichi, ubuyu na mihogo ya kukaanga baby nenda ukaninunulie" sasa usiku wa manane utavipata wapi vyote hivyo, hapo mnuno wake acha kabisa utatamani uhame nyumba.

mtie mimba za kutosha.....bandika bandua!
 
Mi nilijua ukioa mwanamke uliye mpita umri mkubwa ndo anakuwa na upendo na utiifu kupita mmwanamke ambaye unalingana au kipishana kidogo. Kumbe wote pasua kichwa, inabidi Manual ya jinsi ya kuishi na mwanamke inabd ipatikane

hyo miaka waliozidiana wao ni ming mno hautakiw kumzd mkeo miaka yote hyo kwangu mi nilipanga nimzid angalau miaka mitatu lakn kwa neema zake mungu kanipatia kigor ninayemzid miaka miwili tu yaan ad raha anavyonipet
 
Ndiyo kudeka kutazidi kupita kiasi, saa 7 na nusu za usiku, "baby nina hamu na mafenesi, mapera mabichi, ubuyu na mihogo ya kukaanga baby nenda ukaninunulie" sasa usiku wa manane utavipata wapi vyote hivyo, hapo mnuno wake acha kabisa utatamani uhame nyumba.

ukienda hurudi....unarudi asubuhi unasema walikuwa hawajafungua so ikabidi usubiri wafungue :teeth:
maana hukutaka akose!!!

huyo binti sijui anakula maharage ya msumbiji???

cc Mentor miss chagga
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,

Huyu mama (shemej yenu) kwakweli kazidi kisirani. Kila siku mimi jukumu langu ni kumbembeleza tu na yeye la kwake ni kunitibua. Kifupi hapendi amani nachoka kubembeleza wakuu nakua nalea badala ya kua na mwenza au tatizo ni age difference maana nimemuacha 9 years?

Msaada

PIGA TU😡
 
Wala age si tatizo huyo ni hulka yake tu mwambie hupendi maana imevuka kiwango
 
Hili la kisirani sio umri, ni hulka/tabia za mtu tu. Na inabidi uwe mvumilivu na usimdharau. Jitahidi pia kumweleza autambue udhaifu wake.
 
Bandika bandua hasara kwa mume maana ndio inabidi afanye kazi ya ziada kukidhi mahitaji yatakavyoongezeka kadri familia ikuavyo!
 
Wakuu,

Huyu mama (shemej yenu) kwakweli kazidi kisirani. Kila siku mimi jukumu langu ni kumbembeleza tu na yeye la kwake ni kunitibua. Kifupi hapendi amani nachoka kubembeleza wakuu nakua nalea badala ya kua na mwenza au tatizo ni age difference maana nimemuacha 9 years?

Msaada

Wala siyo age difference I am sure.vp ni lastborn huyo??
 
Mna muda gani tokea mlipoanza kuwa pamoja?
 
Back
Top Bottom