BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Ndiyo kudeka kutazidi kupita kiasi, saa 7 na nusu za usiku, "baby nina hamu na mafenesi, mapera mabichi, ubuyu na mihogo ya kukaanga baby nenda ukaninunulie" sasa usiku wa manane utavipata wapi vyote hivyo, hapo mnuno wake acha kabisa utatamani uhame nyumba.
mtie mimba za kutosha.....bandika bandua!