Shemeji?!nimebaki mdomo wazi!

Shemeji?!nimebaki mdomo wazi!

Don't try utakojoleshwa dagaa.wachaa kabisaa muke ya Mutu ni sumu
 
Mwambie hupendi msg za matusi, simple and clear!kwani hili nalo linahitaji masters?

Mkuu naungana na wewe. Ningemwambia kwa heshima iliyipo baina yangu na rafiki yangu tafadhali usinitumie msg kama hizi, zinanikwaza!
 
may be ulikiweka kihasara hasara bt dont entertain that kabsaaa!!
 
Hivi kwanini nyinyi wanaume mnakuwa wagumu kumwambia mtu stop kutuma sms za kipuuzi, nashangaa sana hata mume wangu utakuta sms za ajabu katumiwa na mijanajike isiyo na haya nae hamwambiii. Huo ni ujinga na kukaribisha majaribu ya shetani. Mchane live kuwa aache tabia za kishenzi.

mimi huwa na STOPSHA DADAA
 
Ndugu kuomba namba za mtu kama huyo ni tiketi ya kufupisha au kuhatarisha maisha yako kwani tayari umeshajulishwa kuwa mke wa mtu?
 
hahahahahahaaa....usijibu hata hizo msg,,, just tell her, shemeji nakuheshimu,,,,hizi msg sio nzuri......tattizo ulishaanza kuzipokea na kuonyesha umezikubali.....kemea ibilisi anakukaribishwa kwenye utawala wake.......na cku rafikiyo akigunduaaaa!!!!!!andaaaa 071.......smile you are with......
 
Kaa standby next atakutumia ka parcel ka hiyo na naniiii unashangaaa mjini hapa...!
 
mkataze, mwambie hupendi hizo sms am sure ataacha. Wengi wanatuma kujaribu ila ukikataa baasi wanaacha kutuma
 
''Nimesoma ujumbe huu zaidi ya mara 3 na Nimebaki mdomo wazi!!"

Funga mdomo sasa imetosha......................
 
Mkuu naungana na wewe. Ningemwambia kwa heshima iliyipo baina yangu na rafiki yangu tafadhali usinitumie msg kama hizi, zinanikwaza!

Ni vizuri lakini sio rahisi hivyo hasa kwa mtu mnaeheshimiana
 
Inaelekea nawe ulikuwa unamtamani kwa muda mrefu. Sasa umekuja hapa ili upewe go ahead. Lakini mimi sikupi hyo ruhusa maana namwogopa Mungu.
 
Back
Top Bottom