Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
hebu njoo huku nikuchojoe bana, nimekumiss wewe hujui tuhamna shida mpendwa we msikilizie tu..mpk akitaka kukuchojoa ndo UTAMWELEWA shemej!!!!!!!
hebu njoo huku nikuchojoe bana, nimekumiss wewe hujui tuhamna shida mpendwa we msikilizie tu..mpk akitaka kukuchojoa ndo UTAMWELEWA shemej!!!!!!!
Umenikosha wewe mdada... ndo mawazo yangu, in fact i think mkaka needs me more kwani yuko mo affected.
hebu njoo huku nikuchojoe bana, nimekumiss wewe hujui tu
nataka niassume ivo..Atake mra ngapi? au mpaka atamkiwe live?
nataka niassume ivo..
sweet hat...unacheza wewe..IVI UNAWAJUA WWANAUME VZURI MAMA?
uyo anatumia approach ya apeal to pitch...anajitia tia analilalia,anajitilisha uruma apo ili wewe uone ahh jamana uyu....then utampa time na attention zote...mwisho wa siku utajikuta ahh y not let me gve him..
wanaume wanasumaku na wanaanzia mbali mpenz....ni WAWINDAJ..apo anakulia timing tu na lengo lake nikukufanya KIFUTA MACHOZI..yaan akishakupata ndo machungu yake yataisha ,hasira ztamwisha....na io itakuwa km fimbo ya kumchapia uyo rafiki yako that nimemtia rafiki yake...apo ndo atajiesabia victory..
wanaume awakubali/kinawauma kushindwa na akishindwa atatafuta sababu za kujistfy au kujiinua tena ili aonekanae ajashindwa...
kuwa macho..uyo ANATAKA AKUFANYA TOOL YA KULIPIZA KISASI NA KUJIINUA TENA ILI AJIRIDHISHE AJASHINDWA...
Wacha kukonyeza wewe!
Maneno yako ni dhahiri na kweli kabisaa!
Dear hiyo phase ya kutongozana ilishapita na ipo out of the way,
tulifahamiana as a result ya interest yake ya kuwa wapenzi...
I know he needs me more but sio kwamba naonesha dhahiri kua
i support him more... itakua mistake na being unfaithful to the mdada,
The guy alikua anapanga surprise engagement party (he told me)
na mdada kapata a guy she is more interested in (she told me)
Iliniumiza hii situation mno... so naamini you get what i mean...
nimekusoma sweeetiee lakin still aijastfy uyo mkaka kufanya mchezo wao ...man stl a man..
nimekusoma sana na ndo mana uyo mkaka anaanzia mbali kujiweka karibu nawe ili mwshowe raman isomwe...
wat u did isnt bad...is gud...lakin kuwa NAM ..IS GUD 4U.
cz we ndo unaujua ukweli wa mdada na mkaka so kuwa NAM tu...
sweet hat...unacheza wewe..IVI UNAWAJUA WWANAUME VZURI MAMA?
uyo anatumia approach ya apeal to pitch...anajitia tia analilalia,anajitilisha uruma apo ili wewe uone ahh jamana uyu....then utampa time na attention zote...mwisho wa siku utajikuta ahh y not let me gve him..
wanaume wanasumaku na wanaanzia mbali mpenz....ni WAWINDAJ..apo anakulia timing tu na lengo lake nikukufanya KIFUTA MACHOZI..yaan akishakupata ndo machungu yake yataisha ,hasira ztamwisha....na io itakuwa km fimbo ya kumchapia uyo rafiki yako that nimemtia rafiki yake...apo ndo atajiesabia victory..
wanaume awakubali/kinawauma kushindwa na akishindwa atatafuta sababu za kujistfy au kujiinua tena ili aonekanae ajashindwa...
kuwa macho..uyo ANATAKA AKUFANYA TOOL YA KULIPIZA KISASI NA KUJIINUA TENA ILI AJIRIDHISHE AJASHINDWA...
We unaweza kula kizuri chako na ndugu zako?kitu kizuri siku zote kula na nguduyo!