poa nitajitahid kuwa nae mbaliHuyu hakuoni kama shemeji anayo yake mengine kama wewe huna basi kaa nae mbali, ndugu yako kaachane nae hata wewe pia huhitaji kuwa karibu nae sio kama adui but kama ex-shemeji, maana mwishoni itakuwa shemeji shemeji huku mwazima taaa
hilo nalo nenoHakuna mjadala hapo dada! pasua kichwa ya nini kashindwa dada utaweza wewe! otherwise umevutiwa nae