toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,912
- 12,372
- Thread starter
- #81
Shida itakua mimi kuanza kuumiza akili kuitafasiri hiyo lugha aliyotumia.... Sipendi kujichosha....
Hata mtu akiniandikia x badala ya s simjibu
Kusema ukweli namjibu ili asipige simu anapiga simu mpaka noma na sometimes nakuaga na jamaake she still calls me...speaking of x instead of s hapo sasa ndio huwa simwelew hasa mtu akiwa mwanaume anaandika x kwenye s namwambiaga ukweli...


