SHEMEJI KAMA HUYU UNAMFANYAJE ?

SHEMEJI KAMA HUYU UNAMFANYAJE ?

Mmekutana akili ziko sawa

Kabisa yan akili zetu zinafanana sasa sijui ni ndogo au kubwa ? Mtu hata awe mje ila kama ana utu you can be friends regardless ya ana kitu gan upstairs...Ni rahis sana kuipredict mindset yako mkuu...
 
Wamekutana kopo na mfuniko

Aisee mtu kama hajui kusoma wala hajui kuandika au hana hela usimkatae, nenda nae sawa tu, huwez jua kilichofanya asisome shule au kuwa alivyo ni nini, mbona humu jf kuna vilaza wengi sana na walipata nafasi yakusoma ila hawakutoboa tunawavumilia, Twendeni sawa tu hata kama we are standard seven graduates...Utu ndio kila kitu, Yeye kopo mimi mfuniko, nacheka kizungu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona mimi sioni tatizo lolole kwa huyo shemeji yako? Chatting ni za kawaida tu, lands wewe ndiye unayetaka kulazimisha kujiongeza umfikirie vingine huyo Shem.
 
Mbona mimi sioni tatizo lolole kwa huyo shemeji yako? Chatting ni za kawaida tu, lands wewe ndiye unayetaka kulazimisha kujiongeza umfikirie vingine huyo Shem.

Jamaa mida anayoniambiaga niende kwake ni mida mibovu sana au muda ananiomba nimpeleke daah mpaka huwa najiuliza sana ila kusema ukweli ningekuwa nina tamaa ningeshamla kabisa, kuna siku kanipeleka mpaka kwake akaniambia nisimwambie jamaa kama nimeenda mpaka kwake? sasa kwanini iwe hivyo na jamaa ni mshkaji wangu ?
 
Jamaa mida anayoniambiaga niende kwake ni mida mibovu sana au muda ananiomba nimpeleke daah mpaka huwa najiuliza sana ila kusema ukweli ningekuwa nina tamaa ningeshamla kabisa, kuna siku kanipeleka mpaka kwake akaniambia nisimwambie jamaa kama nimeenda mpaka kwake? sasa kwanini iwe hivyo na jamaa ni mshkaji wangu ?
Labda hapo ndio nimekuelewa sasa mkuu. Ukimla huyo atakuganda mpaka utashtukiwa na jamaa yake itakuwa sio. Kama vipi mchane live huyo demu kuwa heshima iwepo , la sivyo utamwambia jamaa yake
 
Back
Top Bottom