Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Tukimjua huyo shemeji tunampeleka mahakamani yeye ndiye anaye tutumia zile SMS za mganga maarufu mara ndagu sijui dawa ya mapenzi.




Tukimjua huyo shemeji tunampeleka mahakamani yeye ndiye anaye tutumia zile SMS za mganga maarufu mara ndagu sijui dawa ya mapenzi.





Hajui kuandika kbs.Ngoja kwanza! Huyo shemeji yako unaweza kuchat nae na ukamuelewa vizuri?
MpotezeeJuzi Shemeji yangu kaniomba nimpeleke mpaka kwake nlivyofika kwake akanikaribisha ndani wala sikukaa nikaondoka na akaniambia nisimwambie jamaa kama alinipeleka kwake,
Jana kanikuta kwene mambo yetu ya vijana, nimekaa naenjoy akaomba kunijoin, Tukakaa mpaka kama saa saba ivi, akaniomba ninpeleke home kwake nikamzuga sikwenda nikampeleka kwenye boda akapanda boda akasepa, alivyofika kwake hizi ndio msg alizotuma(kwenye screenshot), on top of that AKAPIGA SIMU ANATAKA NIENDE, Leo nimemwona ni mzima wa Afya na anacheka cheka tu.View attachment 1095649
Mabaharia wenzangu tuulizane, Nimwambie mshkaji au nimkaushie? nishamkimbia sana ila saiv anatumia mbinu za kivita za RUSHIA kupindua matokeo ya uchaguz ya USA
NAWASILISHA
Nipe namba yake nimkanye.
Ni tabia mbaya sana hiyo
Ngoja kwanza! Huyo shemeji yako unaweza kuchat nae na ukamuelewa vizuri?
Tukimjua huyo shemeji tunampeleka mahakamani yeye ndiye anaye tutumia zile SMS za mganga maarufu mara ndagu sijui dawa ya mapenzi.
Trust me hy mwanamke kwa maandiko yake hata hata akili zake hivyo hivyo ukimtafuna tu lzm mbambwee na jamaa na alivyo unawez kuta kapenda hako kagari kako ndiio kanamchanganya![]()
Hii chai ya tangawizi..
Usimle shemeji yako kk..sio vzr.
Nilijua tu,mpotezee tu bwege huyo
Kumbe wasiojua kuandika ni Wasukuma pekee![]()
Hajui kuandika kbs.
Huyu shemej ako anaandika lugha gani