ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 17,461
- 67,439
Ni mzuri ila kuandika hajui uwe unamfundishaLedada najiongeza tu ni kama kiswahil hajui vizuri kaja dar mwaka jana, ila kazuri daah
Ni mzuri ila kuandika hajui uwe unamfundishaLedada najiongeza tu ni kama kiswahil hajui vizuri kaja dar mwaka jana, ila kazuri daah
KabisaHajui kuandika kbs.
Ngoja kwanza! Huyo shemeji yako unaweza kuchat nae na ukamuelewa vizuri?



dah ndio maana sisi wengine hatutaki mazoea na mashemegi ujueJuzi Shemeji yangu kaniomba nimpeleke mpaka kwake nlivyofika kwake akanikaribisha ndani wala sikukaa nikaondoka na akaniambia nisimwambie jamaa kama alinipeleka kwake,
Jana kanikuta kwene mambo yetu ya vijana, nimekaa naenjoy akaomba kunijoin, Tukakaa mpaka kama saa saba ivi, akaniomba ninpeleke home kwake nikamzuga sikwenda nikampeleka kwenye boda akapanda boda akasepa, alivyofika kwake hizi ndio msg alizotuma(kwenye screenshot), on top of that AKAPIGA SIMU ANATAKA NIENDE, Leo nimemwona ni mzima wa Afya na anacheka cheka tu.View attachment 1095649
Mabaharia wenzangu tuulizane, Nimwambie mshkaji au nimkaushie? nishamkimbia sana ila saiv anatumia mbinu za kivita za RUSHIA kupindua matokeo ya uchaguz ya USA
NAWASILISHA

Ni mzuri ila kuandika hajui uwe unamfundisha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sawa mkuu,Hiyo lugha ya shemeji noma sani nimeelewa neno "mutaroni" pekee , mchane ukweli kwamba mheshimiane mitego tego yake hupendi wala nini ,hatorudiaa![]()
![]()
Maswala ya kutonesha chati zako na mabeki tatu wa majirani zako hatutaki, shemeji kaishia darasa la pili au ndio tuseme shemeji yetu mzungu mweeee
Mkuu mabeki tatu tenanyie jamaa mnadharau kazi za watu...me pia ni houseboy tumekutana hapo
![]()
alafu anakwambia bi dada ni mzuri
Kwa uandishi huo wa shemeji nisingemjibu hata iweje.... Labda apige simu
Hajui hata kuandika achana nae unatafutiwa balaa
Shida itakua mimi kuanza kuumiza akili kuitafasiri hiyo lugha aliyotumia.... Sipendi kujichosha....Hahahaha kama umewaki kusoma kitu inaitwa development studies na ukaielewa utamjibu tu...Tunasoma shule lakin the community we come back to serve, have 95% of ignorant people na ndio tunadeal nao sasa kwakuwa wewe umesoma you adapt the environment either way....
Hamna ni kazi naiheshimu lakn wao ndio wana uandishi wa kiswahili hivyo .. anyways shemeji kaumia kiuno nenda kamkande mkuu
Muandiko wa ki-back 3.