Bila shaka itakuwa una undugu na shemeji bibie...Ngoja kwanza! Huyo shemeji yako unaweza kuchat nae na ukamuelewa vizuri?
Hizo text mnazotumiana unatengeneza ushahidi.Juzi Shemeji yangu kaniomba nimpeleke mpaka kwake nlivyofika kwake akanikaribisha ndani wala sikukaa nikaondoka na akaniambia nisimwambie jamaa kama alinipeleka kwake,
Jana kanikuta kwene mambo yetu ya vijana, nimekaa naenjoy akaomba kunijoin, Tukakaa mpaka kama saa saba ivi, akaniomba ninpeleke home kwake nikamzuga sikwenda nikampeleka kwenye boda akapanda boda akasepa, alivyofika kwake hizi ndio msg alizotuma(kwenye screenshot), on top of that AKAPIGA SIMU ANATAKA NIENDE, Leo nimemwona ni mzima wa Afya na anacheka cheka tu.View attachment 1095649
Mabaharia wenzangu tuulizane, Nimwambie mshkaji au nimkaushie? nishamkimbia sana ila saiv anatumia mbinu za kivita za RUSHIA kupindua matokeo ya uchaguz ya USA
NAWASILISHA
Juzi Shemeji yangu kaniomba nimpeleke mpaka kwake nlivyofika kwake akanikaribisha ndani wala sikukaa nikaondoka na akaniambia nisimwambie jamaa kama alinipeleka kwake,
Jana kanikuta kwene mambo yetu ya vijana, nimekaa naenjoy akaomba kunijoin, Tukakaa mpaka kama saa saba ivi, akaniomba ninpeleke home kwake nikamzuga sikwenda nikampeleka kwenye boda akapanda boda akasepa, alivyofika kwake hizi ndio msg alizotuma(kwenye screenshot), on top of that AKAPIGA SIMU ANATAKA NIENDE, Leo nimemwona ni mzima wa Afya na anacheka cheka tu.View attachment 1095649
Mabaharia wenzangu tuulizane, Nimwambie mshkaji au nimkaushie? nishamkimbia sana ila saiv anatumia mbinu za kivita za RUSHIA kupindua matokeo ya uchaguz ya USA
NAWASILISHA kwa uandishi huo,huyo jamaa yako kala hasara,cha kufanya wewe fanya kama askofu wa ufufuo na uzima halafu jamaa akimaind unamwambia,,,Ni wivu tuuu.
Utalegea tu WeweAhahaha jamaa kamtoa bush kweli ahahaha braza nimemkwepa sana, ana mbinu kali huyo ahaha...
Utalegea tu Wewe
Hizo text mnazotumiana unatengeneza ushahidi.
Ole wako jamaa yako azinase, huo uadui utakaotokea utashangaaa imekuwaje!
Huyu shemeji yako nahisi hakumaliza hata darasa ya tano
Kwana huyu mwanamke sio mjanja.
Hata kuandika hajui.
Achana naye atakuletea matatizo
Wanawake wapo wengi sana.
Inaonekana kabisa huyu sio hadhi yako.
Hapo hata namba ya simu ungemblock kabisa shemeji yako manke hachelewi kukusingizia
Wanawake wanaokuja kihivyo huwa nawapiga za mbavu hadi hawaamini.
Hutakiwi kutembea naye
Swali zuri sana manake mutaroni imenishangaza sana bila shaka ubongo uliumia.
ushafika kwani?
Jamani ni anamtetea shemeji. Anajua kuandika ila aliandika msg kwa hofu asibambwe 'na bro. Sasa ukiingia tu umenasa utajuta kumfahamu shemeji.
kumbe kazuri!! piga wewe acha kulemba.Ledada najiongeza tu ni kama kiswahil hajui vizuri kaja dar mwaka jana, ila kazuri daah
Atarudi kwa speed ya 6GDaah nimefanikiwa kumshinda shetani
Hongera, na ikiwezekana usije ukajibu tena text zake. Kama anashida atakuambia live siyo kuchat tena chat zenyewe zinaelekea mahaba mahaba. Hakuna kitu kinauma kama mke, believe me!Mkuu nimefanikiwa kumahinda shetani nishafuta na sitak mazoea, na nimemwambia apunguze spidi
Hata hizo reply zako,ni mtu tamaa ,utamla tu.
Ndyo maana hawa wasukuma ni kawaida yao! Hasa (wanyantuzu) kutoka Simiyu mkeo kulala na rafiki zako ni kawaida sanaa!
Kuna dem mmoja nilimuambia rafiki yangu huyu Binti namtaka baada ya miezi kadhaa nikamkuta kwa nyumba aliyopanga rafiki yangu!
Nikaona hapa itakuwa raisi kumpata. Mshikaji akaniachia gheto nikala mzigo!
Badaa miezi kupita akaniambia yule dem nilishakula kabla yako!
Nilicheka sanaaa!!!! Hiyo ndiyo Simiyu-Bariadi!
Shemeji mbona msg za kawaida tu. Kama kaanguka ni kwa ajili ya pombe we mkaushie siku ukiona mauza uza mengine ni tag