toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,912
- 12,371
- Thread starter
- #121
Ndyo maana hawa wasukuma ni kawaida yao! Hasa (wanyantuzu) kutoka Simiyu mkeo kulala na rafiki zako ni kawaida sanaa!
Kuna dem mmoja nilimuambia rafiki yangu huyu Binti namtaka baada ya miezi kadhaa nikamkuta kwa nyumba aliyopanga rafiki yangu!
Nikaona hapa itakuwa raisi kumpata. Mshikaji akaniachia gheto nikala mzigo!
Badaa miezi kupita akaniambia yule dem nilishakula kabla yako!
Nilicheka sanaaa!!!! Hiyo ndiyo Simiyu-Bariadi!
Aiseee, noma!!!

