Shemeji ananitaka

Shemeji ananitaka

Kwa hiyo unataka kutuaminisha humu ndani kuwa wewe ni wife material na wanaume wanakupenda sana.

anyway, hebu fanya utaratibu na mimi unifanyie connection ya kupata mwanamke wenye uhitaji wa mume ili tujenge familia.

Sifa za huyo mwanamke nimeweka hapa chini kwenye signature yangu
Sijui kama ninafaa au sifai kuwa mke, kama unahitaji mwanamke humu kwanini usianzishe uzi uandike na vigezo vyako unavyohitaji atayevutiwa aje PM myajenge
 
Habari za muda mrefu wana jukwaa. Iko hivi nina rafiki yangu yeye ana mtoto mmoja yaani single mum, sasa ana mwanaume wake. Huyo mwanaume wake kipindi wanaanza mahusiano hata mimi nilikuwa nawaona mpaka sasa wamefikia kama miaka kadhaa ya mahusiano yao.

Huyu mwanaume siyo baba wa mtoto wake, sasa huyu shemeji kuna siku moja alichukua namba yangu nikiwa pale kwa rafiki yangu, yeye rafiki yangu alikuwa jikoni anapika, mimi nilijua kachukua kwa nia nzuri tu awe anakuja ofisini labda kuniungisha.

Sasa tulikuwa tunawasiliana akawa ananiita mke mdogo, mara ananiambia nimzalie mimi namwambia siwezi kufanya hivyo wewe ni shemeji yangu nakuheshimu, anasema kwani kuna ubaya. Mara kuna kipindi anakuja ofisini ananiambia wameachana na rafiki yangu mara warudiane.

Huyu shemeji nimemuona ni mtu wa ajabu sana kwa kitendo cha kunitaka kimapenzi kwani huko kote hajaona wanawake hadi aje kwangu, kwa rafiki wa mtu wake, wanaume hamna haya kabisa.

Mimi sijawahi kumwambia rafiki yangu na nimekata mazoea nao wote wawili, maana rafiki yangu akijua tu nilikuwa nachat na mtu wake atakasirika mno maana ana wivu balaa.
Cc. holoholo
Nomadix
Pole sana kwa kusumbuliwa na huyo shemeji yako mwenye tabia za malaya malaya.

Samahani naomba niende nje ya mada kwa muda. Je, unauza bidhaa gani hapo ofisini kwako? Naweza kuwa mteja wako mtarajiwa. Kama upo tayari naomba unipe location ya biashara yako nije nikuungishe siku moja.
Sitanii niko serious.
 
Pole sana kwa kusumbuliwa na huyo shemeji yako mwenye tabia za malaya malaya.

Samahani naomba niende nje ya mada kwa muda. Je, unauza bidhaa gani hapo ofisini kwako? Naweza kuwa mteja wako mtarajiwa. Kama upo tayari naomba unipe location ya biashara yako nije nikuungishe siku moja.
Sitanii niko serious.
Asante sana mkuu, barikiwa kwa moyo wako wa kutaka kuniungisha, samahani sitaweza kukupa location sihitaji kujulikana na yeyote.
 
Sijui kama ninafaa au sifai kuwa mke, kama unahitaji mwanamke humu kwanini usianzishe uzi uandike na vigezo vyako unavyohitaji atayevutiwa aje PM myajenge
Sijasema kwa ubaya ila inawezekana katika pita pita yako na pia marafiki au ndugu na jamaa ulionao katika cycle ukaona mmoja au wawili wana uhitaji wa kweli wa kuwa na mume na wapo ready na ukaona huyu hata ningekuwa na kaka yangu ningemshauri aoe huyu mwanamke, naamini sometimes katika jamii yapo haya mambo.

kama wapo au umemuona mwananmke wa hivyo sio mbaya ukanifanyia ukristo kwa nia njema tu ya kudumisha uhusiano mwema na kutuunganisha tuwe mwili mmoja maana nia ni njema kabisa
 
Back
Top Bottom