kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
- Thread starter
- #201
Hatari sana mkuuKazini kuna kazi
Hatari sana mkuuKazini kuna kazi
Pesa si kitu utu ndiyo muhimuKAMA ANA PESA PITA NAE ACHA USHAMBA
Nimekuuliza wewe mama mwenye watoto wawili, mmoja wa kiume mwingine WA like anakutaka akioeleke wapi?Hiyo mimi hapana aisee
SijaelewaNimekuuliza wewe mama mwenye watoto wawili, mmoja wa kiume mwingine WA like anakutaka akioeleke wapi?
Sina watotoWewe Una watoto 2 tayari so Shem wako anakutaka ili iweje?
Sawa kama ungejua hivyo umeleta thread ya kaz gan? Kama ungekua na maamuzi usingeleta Uzi hapa ungejiamulia hukohuko, Kwa maana hiyo hata wewe unamtaka ila unachofanya unatafuta tuu watu wakukusapotiPesa si kitu utu ndiyo muhimu
😁😁😁sawa naona tulikuwa wote siku ya tukioHata wewe unamtaka.... Mtu usiyemtaka huwezi kuchati nae... Na namba anaweza kuchukua bila ruhusa yako!!. Nyie wanawake janjajanja nyingi ila huwa mnaonesha mitego mkiombwa mnakuja kutoa shutuma za kibwgelezee..!!. Shemeji unaemheshimu anakuheshimu kwa dhati bila mitego hawezi kukutaka ng'ooo!!. Na mpaka umekuja hapa basi jamaa kashakula mbubusu na itaka linaenda kubumbulika😂😂😂.
Akuombe mbubusu shemegi ukate mazoea na rafiki yako? KWA kipi kibaya? Hii defense mechanism tu ila ushapakuliwa aloo.
Nimeleta ili kuwaambia mashemeji wenye tabia kama hizi muache mara mojaSawa kama ungejua hivyo umeleta thread ya kaz gan? Kama ungekua na maamuzi usingeleta Uzi hapa ungejiamulia hukohuko, Kwa maana hiyo hata wewe unamtaka ila unachofanya unatafuta tuu watu wakukusapoti
Shemeji ni mshenzi kabisaAnataka kipochi manyoya
Ww mwache ajilie... Kama amekata matumiz vumilia😂😂😁😁😁sawa naona tulikuwa wote siku ya tukio
Sawa mkuuWw mwache ajilie... Kama amekata matumiz vumilia😂😂
We humpendi sio?Shemeji ni mshenzi kabisa
Ndiyo siwezi kumpenda shemejiWe humpendi sio?
Kama zipiWadangaji bana wana mbinu mpya mjini😂😂🚶🚶🙌🙌