Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta.
My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.
nyie ccm mmeshindwa ku-address matatizo ya wananchi acheni kushikana uchawi; madaktari wamegoma nyie mnafanya mikutano kila siku isiyoisha wakati watu wanapukutika?
Mungu ameshawapiga pigo; pigo hili la kufarakana lazima linawamaliza tu mtake msitake; its external force from GOD na lazima mnasambaratika tu ifikapo 2012.
Hizi mzionazo ni dalili ya mwisho wa chama chenu ambacho badala ya kuwatetea wanyonge kimegeuka kuwa kijiwe cha kudai maslahi binafsi, posho na kuuza nchi kwa wawekezaji njaa. Mungu yupo na ndiye Jaji Mkuu - in GOD WE BELIEVE.
(mtanganyika asiye na matumaini ndani ya nchi yake tajiri)