Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta.
My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.
[Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta. My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.]
Hoja hii haina mshiko, huyu mama hawezi kushirikaina na hao uliowataja kwani siyo kundi lake, huyo yuko kundi la Lowasa, ila ni kweli kwamba anafanya kazi ya kumwadhibu Kikwete kwa kutumiwa na huyo bwana, kumbuka alishawahi kusema kuwa rais ajae ni Lowasa kwa kumnukuu nabii mmoja wa Naijeria alikokuwa amekwenda huyo bwana kusafisha nyota yake. Hata kumsurubu Jairo ilikuwa ni mpango wao kwani walisikia tetesi kuwa ndiye anaandaliwa kuchukua nafasi ya Luhanjo. Sidhani kama huyo EL haumo katika sakata hili la mgomo wa madaktari!! wana JF lifanyieni kazi hilo najua anachekelea sebuleni kama siyo chumbani.
Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta.
My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.
Kimbunga said:Mkuu mwanzoni walikuwa wote!
anapigania posho na hataki wananchi washirikishwe ktk mchakato wa katiba mpya,sasa wananchi wa aina gani anapigania?Anasimamia msimamo wa jamii inayoteseka
Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta.
My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.
Mkuu wewe ulitegemea nini toka wanasiasa wa kiTanzania?Huyu mama mbona kigeugeu!!mifano ya kigeugeu chake ni kama ifuatavyo,mwanzo alikuwa anampinga lowasa,mara akatangaza rasmi kuwa yupo kambi ya lowasa,akaibua suala la jairo lakini lilipoletwa bungeni akaanza kutetea tena,sasa ameanza na singo ya kikwete apigiwe kura ya kutokuwa na imani naye,na anaendeleza uasi dhidi ya serikali,kisa posho!!siku akiwekwa kati ajieleze ataanza kutafuta mlango wa kutokea!!nec ya tarehe 12 tunaomba ajieleze kama anao ubavu wa kujisimamia,na wanaomuunga mkono nashindwa kuelewa uwezo wao make mwisho wa siku watakosa maelezo.
Inadaiwa kuwa Beatrice Shellukindo aka Jairo mbunge wa kilindi anaongoza uasi ndani ya wabunge wenzake wa CCM ili kuikomoa serikali kwa kuwa amenyimwa uwaziri.Shellukindo alikuwa na matarajio makubwa sana kupata uwaziri,alipoona ameukosa ameamua kula sahani moja na wale waliopo madarakani.
washirika wake ni ole sendeka,Ane kilango,mwakyembe na Sitta.
My take.hii ni chuki na hila ya kutaka wakose wote.