Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

Status
Not open for further replies.

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,023
Reaction score
13,370
Amemuiga Pinda!
Anasema amekosa usingizi siku tatu kuwaza jinsi Waasisi walivyotukana.

Ameanza kulia na kutoa machozii!!

Anasema kumtukana Karume na Nyerere ni sawa na kumtukana baba ake mzazi.
 
Katika jambo lisilokuwa la kawaida shekhe hamidi jongo aliangua kilio kwa kukerwa na watu wanaowatukana viongozi na waasisi wa taifa yaani mwl nyerere na karume
source tbc1
 
Kadhi wa mkoa wa dsm, Sheikh hamid jongo, mwakilishi wa kundi la dini katika bunge la katiba ametoa machozi ya uchungu ya kutukanwa waasisi wa taifa hili mwalim j.k nyerere na sheikh abeid karume. Ameeleza kusikitishwa kwake kwa tabia hiyo ya kutoa matusi na kejeli kwa wazee hao yaliyofanywa na baadhi ya wajumbe wa bunge hilo akisema kuwa mtu akishakufa huachwa bila kusemwa vibaya kwa sababu tayari anakutana/amekutana na mungu ambaye ndio hakimu wa kweli.

amelia na kudondosha chozi na kuwaomba wabunge watumie lugha za staha na kistaarabu
 
Shehe analia kusemwa vibaya Nyerere badala ya Kulia zile kauli za Lukuvi alizozitoa kanisani na kuwabagua Waislam kuwa Serikali 3 zikipita Zanzibar itakuwa na Serikali ya Kiislam, ni vema sasa kwa karne hii tukasoma vyote elimu Dunia na hiyo ya dini ili tuwe na upeo wa kuelewa mambo sio kama hawa wenzetu walioishia na elimu ya aina moja.
 
Hopeless figures.... hawa watu bhana.... ??????????
embu weka CV yake hapa tuione...anawapenda waasisi kuliko wake zao? watoto wao? wametukanwa matusi gani? matusi ni nini?........ just expression of high level of un intelligence na ushabiki usio na maana
 
Ebu tumuulize na yeye inawezekana alikuwa mmojawapo waliomsomea itkaf Kikwete ili yamkute mabaya kwa kutowatetea waislam leo hii kageuka tena je amesahau?
 
Mtume Katukanwa mara ngapi na hajawahi kulia? Huu ni unafiki mkubwa.
 
sheikh anaidhalilisha hadhi yake;kulia bungeni muhimu sana kama kusimamia mambo yaliyofanywa waasisi wetu kama kulinda maslahi ya taifa na wananchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom