pembankwetu
Senior Member
- Dec 30, 2012
- 133
- 62
Makubwa haya hiviWakipatikana Masheikh wengine kama yeye, mdudu CCM ataondoka madarakani hata kabla ya 2015
leo CHADEMA wamewakubali masheikh Inshaallah awaongoze hili na jengine
Makubwa haya hiviWakipatikana Masheikh wengine kama yeye, mdudu CCM ataondoka madarakani hata kabla ya 2015
Makubwa haya hivi
leo chadema wamewakubali masheikh Inshaallah awaongoze hili na jengine
Kwani naona hapo anachanganya Dini na Siasa. Kwa mlio Tanzania Vipi Sheikh Mtopea ameishia wapi siku hizi?
Kunako 2000...
Mgombea urais kupitia CCM, Mh. Benjamin William Mkapa amesema, ameongoza kwa haki, uwazi, ukweli na uadilifu katika kipindi cha miaka mitano iliyopita.Mh. Mkapa ameyasema hayo alipokuwa akizindua kampeni za uchaguzi katika viwanja vya Jangwani Jumamosi.
Aidha katika mkutano huo, mtu mmoja aliyeitwa sheikh Mtopea alisoma aya aliyodai ni ya Qur'ani lakini isiyopatikana popote katika msahafu.Mtopea alisoma aya hiyo, akiwashambulia waislamu huku akitiwa mori na wana CCM walionadi, "waambie hao" na wengine wakipiga takbira za kejeli.Akiwa jukwaani alimokuwa Mh. Mkapa na Rais mstaafu Ali Hassani Mwinyi, Mtopea alisema, "INNA LLAHA LA YUGHAYYIRU NIIMATIHI, HATTA YUGHAYYIRU MA BIANFUSIKUM"
Mashekh mbalimbali walioongea na gazeti hili wamesema, hakuna 'aya'.kama hiyo katika msahafu.Labda "wakati Rais Mkapa akizindua kampeni za chama chake, sheikh Mtopea alikuwa akizindua Qur'an yake", amesema sheikh Bassaleh katika taarifa yake ya maandishi.
Well!
Hayo ni maoni na msimamo wake binafsi!
...Chadema kama wakitaka wanaweza kufanya survey kujua kati ya Waislamu kumi ni wangapi wanaiona Chadema kuwa ni ya Wakristo.
Inaelekea unaushahidi "duniani mpaka mbinguni"
msomi wa ilmu dunia na ilmu akhera professor Abdallah Safari atii "amenunuliwa!!!!!!"
kama vipi itungwe sheria ya kuzuia kununuliwa (iwe kosa la jinai lisilo na dhamana) hoja ipelekwe bungeni kibinafsi na ama lusinde au Mwigulu Nchemba
Aisee wewe unaweza kutusaidia sana katika upelelezi wa alietupa bomu Arusha.=nguvukazi mikono;6367347]Ushauri wangu kwa Watanzania Wakristo wote wahamie CDM na Waislamu wote wahamie CUF tumebakiwa na vyama viwili vikubwa vya Kidini hapa Tanzani,yaani:
- CDM ya Wakristo
- CUF ya Waislmu
Hauhitaji kuwa na degree kujua CDM ni chama cha udini, ukabila na ukanda. Huyu, shehe ni wale wanao nunuliwa na cdm ili kuondoa hili doa, km walivyo fanya kwa Prof. Safari. Kwa hili la udini cdm haisafishiki hata chembe hata mlete thread ngapi humu ndani.
Hauhitaji kuwa na degree kujua CDM ni chama cha udini, ukabila na ukanda. Huyu, shehe ni wale wanao nunuliwa na cdm ili kuondoa hili doa, km walivyo fanya kwa Prof. Safari. Kwa hili la udini cdm haisafishiki hata chembe hata mlete thread ngapi humu ndani.
Kwa ujangili, ufisadi, kungoa watu meno kucha na macho, rushwa, na wizi, MACCM hawasafishiki hata utumie jick na omo!!!Hauhitaji kuwa na degree kujua CDM ni chama cha udini, ukabila na ukanda. Huyu, shehe ni wale wanao nunuliwa na cdm ili kuondoa hili doa, km walivyo fanya kwa Prof. Safari. Kwa hili la udini cdm haisafishiki hata chembe hata mlete thread ngapi humu ndani.
Huyu Sheikh kapewa mshiko na Tundu Lissu
...CHADEMA haitoi mishiko kwa wananchi bali inachangiwa na wananchi. Hiyo ndiyo tofauti ya CCM na CDMHuyu Sheikh kapewa mshiko na Tundu Lissu
CDM ni ya wakristu, CUF ni ya waislam, CCM ni ya wapagani?
kwani ndugu yangu Selemani wewe ujuavyo udini ni nini? je! unadhani udini ni kitu kuzuri? je! unafahamu sifa za mtu anayeweza kugombea urais nchini kwa mujibu wa sheria? je! unadhani sheria za uchaguzi zina mapungufu na zinahitaji marekebisho?Waislamu wa nchi hii hawawezi kuchagua Padre mstaafu kuwa Rais. Sio udini wala nini, ni reality. Sheikh Kitilla anajiongopea tu.