james chapacha
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 939
- 200
baada ya udini na ssa ugaidi jiulze nni ktafuata!kumbuka TANGANYIKA niyetu wote kwa pamoja tuungane kuilinda dhidi ya wakoroni weusi.
Shekhe kasema CHADEMA si chama cha kikiristo akikusudia kwamba ni chama cha watu wote na si cha watu wa dini fulani na wala hawana mfungamano wa kidini na dini yeyote.Sasa nawe ungekuwa na nia ya kujenga ungetakiwa useme CCM si chama cha dini "A" au "B" na ulete mifano Ili kuthibitisha kama alivyothibitisha shekhe.Hii ingetusaidia kwenda kwenye conclusion kwamba vyama vya siasa nchini vilivyosajiliwa na John Tendwa si vyama vya kidini bali vya kisiasa.Hivyo kila anayedai kwamba cha mwenzake cha kidini basi huyo ana lengo la kuleta faraka na anatakiwa kukosolewa.Kinyume chake mimi na wewe tutakuwa tunaendeleza tatizo.Huyu Sheikh anatakiwa kumuhoji kiongozi wake Dr Slaa ataje majina ya misikiti ambayo anasema JK alikuwa anafanya kampeni wakati wa uchaguzi mkuu.
Well!Hayo ni maoni na msimamo wake binafsi!...Chadema kama wakitaka wanaweza kufanya survey kujua kati ya Waislamu kumi ni wangapi wanaiona Chadema kuwa ni ya Wakristo.
Bora huyu kaliona hili maaana vijana makini ccm wameisha wamebaki mazuzu tu,kwanza hawaja jibu maswali ya mh.tundu lissu ni lini cuf imeacha kuwa chama kiislamu wenye msimamo mkali??na ni lini chadema imeacha kuwa chama cha wakatoliki???
Aidha Kitilla aliyetaja namba zake 0754-512347 alidai, anawamatafuta Viongozi wakuu wa Chadema wasio Wakristo Mbunge Said Arfi, Zitto Kabwe (MP), Prof. Abdalah Safari, Halima Mdee (MP), Hamad Yusuph, Issa Mohamed na wengine ili awaulize M4C kuna udini? Wakisema hakuna atajiunga huko!
My take;Wote kwa pamoja tukijitahidi kuwa wakweli tutaweza kusonga mbele.
Hauhitaji kuwa na degree kujua CDM ni chama cha udini, ukabila na ukanda. Huyu, shehe ni wale wanao nunuliwa na cdm ili kuondoa hili doa, km walivyo fanya kwa Prof. Safari. Kwa hili la udini cdm haisafishiki hata chembe hata mlete thread ngapi humu ndani.
umesanuka wewe na nani? CHADEMA itawapata haohao mashekh ubwabwa tu, maana hata Nyerere aliwatumia haohao ktk arakati zake.mbona we mwenyewe ni mdini?
tumesanuka hatudangantiki tena.
Ivii tangulini Alima Mdee amesilimu nakuwa muislamu? Au huyo shekh wenu ame babaika na jina?Amenena ukweli mtupu, upotoshaji haudumu milele!
CHADEMA ni ya wakristu, CUF ni ya waislam, CCM ni ya wapagani?SHEKHE wa Msikiti wa Nunge Dodoma, Shabani Kitilla, amewang'akia watawala na Viongozi wanaopotosha ukweli, akipinga kuwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) si Chama cha Kikristo, Kikabila au Kiukanda....
Sheykh huyo tatizo lake ana elim ya dini tu.
Kweli njaa ni janga kubwa. Nafikiri mstari wa mwisho umejipambanua kuwa anataka kuwa Mwanachama wa Chadema.
Mpeni elfu tano tu itamtosha akatulize njaa yake.
Kwani naona hapo anachanganya Dini na Siasa. Kwa mlio Tanzania Vipi Sheikh Mtopea ameishia wapi siku hizi?
umesanuka wewe na nani? CDM itawapata haohao mashekh ubwabwa tu, maana hata Nyerere aliwatumia haohao ktk arakati zake.