critique
Member
- Aug 7, 2008
- 18
- 1
Tatizo lako ni kwamba akili na macho yako yanadanganyika na ujanja wa CCM!! Hakuna Rais aliyepata kutawala Tanzania anaeendekeza UDINI na ukabila kama Kikwete; sina haja ya kudhihilisha hilo, mifano iko wazi ila nikuambia tu tabia yake ya kupeleka miradi ya kiwanja cha ndege , bandali na Viwanda ili mradi Bagamoyo ndiko anakotoka ni ashara tosha ya mtu anayejipendelea kwa maamuzi yake bila kuangalia faida kwa nchi nzima.
Ndio ilivyo kwa kila anaepata madaraka ya inji hii
Angalia kule Arusha,K/njaro...barabara hadi kwenye mikahawa.Mrema ndio alipeleka hadi getini kwake barabara inayotoka main road.Mambo ya KIA,AICC etc ni influence ya u home boy..na wa kule kusini ndio hivyo tena,,Mkapa kawakumbuka na the Mkapa road.
Kuna madai ya kwamba Daniel Yona na Mkapa walikuwa wana channel fedhwa za serikali including hizi za ufisadi kwenye makanisa na miradi yao....ndio maana versities ziliibuka kama uyoga under Mkapa admin