Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
ukweli ni kwamba majority ya wazanzibar wanamtaka bilal hata maskani zote uko zenji uyu bilal has strong appeal ila inasemekana si wa kupelekeshwa ni dizaini ya salmin amour anapenda siasa za chuki na ubabe, kwa cuf huyu jamaa ni bad news wasiombee apite, watashughulikiwa kisawasawa!
Hao majority unaowasema wewe umetumia kigezo gani? Hata hao CCM wenyewe si wote unapataje "Majority Wazanzibari" ukiwa ya maana ya CUF na CCM? Hizo ni propaganda za Maskani moja tu ya Kisonge ambayo ndiyo inayomuunga mkono Bilal kufa na kupona, sasa maskani moja ndio CCM yote? Ndio "majority Wazanzibari"? Hata hao waliotangulia kushinda kwa kishindo hawakuwa wanapendwa na Wazanzibari "majority" na kishindo chao cha kwenye masanduku ya "ukachota, ukaiba ukachukua waaa"