Sheikh Yahya Hussein afariki Dunia

Huyu mzee nitamkumbuka kwa umaarufu wake, wenye umri kama mimi watakumbuka enzi zileee tukikusanyika nyumbani kwake na hata kule sabasaba tukiangalia mpira ktk video/TV. Huyu mzee ni miongoni mwa watu waliochangamka zamani.
 
Wewe wasema, no comprimise na wachawi na washirikina wanaojaza hofu wananchi. kifo cha huyu pepo mchafu ni GREAT RELIEF kwa Taifa.

Well, tutasema, kuwaza, na hata kuongea mengi. Kwamba Marehemu muda huu yuko wapi, mie sijui; au labda yuko kwenye ile mito itiririkayo vilevi akistarehe na wale mabikira, pia mie sijui; ila neno moja najua nalo litasimama milele:

"Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, NA HUO UTAKATIFU AMBAO HAKUNA ATAKAYEMWONA MUNGU ASIPOKUWA NAO".

Na huo utakatifu hupatikana katika YESU KRISTO peke yake. Na tena, kisasi na hukumu ni vya Bwana MUNGU wetu.

Marehemu Sheikh Yahya apumzike kwa amani - AMINA.
 
dah kaaz kwel kwel hope ata meet Nyerere na kumegea data za huku!
 
Shekh mkuu na mtabiri Shekh Yahya Hussein amefariki dunia leo saa nne
chanzo ITV
 
Duh! Poleni Watanzania wote Mpendao Amani, Mshikamano na Umoja. Sheikh Yahya atakumbukwa sana kwa kutokuwa muumini wa UDINI.
 
Duh! Poleni Watanzania wote Mpendao Amani, Mshikamano na Umoja. Sheikh Yahya atakumbukwa sana kwa kutokuwa muumini wa UDINI.

Alikuwa anazitaka pesa za watu wa dini zote, sasa angekuwa mdini wale wateja wa upande wa pili angewakosa.
 
Uuwiwiwiwiiiiii ..... Rais atalindwa na nani?.......
 
huyu mzee si yuko safari huyuau karudi maana mlinzi wake kafa
 

Mkuu rekebisha heading. Hawezi kutoa rambimbi kwa marehemu.
 
Na leo ndio nimepata siri kwamba huyu Sheikh ubwabwa kumbe alizaliwa Bagamoyo.
 
kumbe kila kitu kinamfikia sio?ingekuwa taarifa ya umeme kukatika au watu kukpigika hataki kujibi anajifanya hajasikia kumbe anapata taarifa zote wajameni
 
People's pawaaaaaaaaaaaaaa, Sauti ya Slaa ni sauti ya watu, na sauti ya watu ni sauti ya Mungu, hivyo basi, Sauti ya Slaa ni sauti ya Mungu. Ole wake anaepingana na sauti ya Mungu kwani hayatampata mema. Shekhe huyu alipingana na sauti ya Mungu kwa kusema yeyote atakayesimama kumpinga Kikwete atakufa. Sasa hatima yake kama mpinga sauti ya watu (which = sauti ya Mungu) imefika. Tutoeni tu salam za rambirambi
 
Maskini hakuweza kujua au kutabiri kifo chake....rip all the same late Sheikh Yahya
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…