kwa kweli mfano wa kuigwa ndo maana nasema hawa ndugu vita yao ni yao wao wenyewe ila wajinga, mataahira ambao hawajasoma ndo wanasumbua hii nchi, huwa hawana mafunzo ya dini yao, hawana uelewa wa mafundisho ya imani yao, basi wanapelekwa pelekwa tu na watu hawajaenda shule, watu wagonjwa, wenye delusion ya kufanya mambo ya ajabu, ila kwako shekh salute, kama mimi ningekua mtoa nishani pia yako ningekupa wastahili tunuku kwa mawazo ya busara tofauti na wenzio, una something ambayo wenzio awana an may allah bless ya