Sheikh Ponda yuko sahihi


hongera<MGUNGA MIBA: wasipoelewa tena hawa walaf wa NYAMAFU cjui wataelewa lini!
 

Nikweli kwamba viongozi wengi awamu hii ni Waislam na ndo maana sasa hivi mfumuko wa bei ni mkubwa sana. Inflation rate imepanda kutoka single digit of 5% to 22%, Exchange Rate hasa ya USD imeongezeka kutoka Tzs 850.00 kwa Dollar 1 hadi Tzs 1,700.00 kwa Dollar 1. Ombwe la Uongozi ni 100% na hakuna mwelekeo wa wowote wa hari hii kubadirika.

Kama kweli ni Wasomi kwanini mnashindwa kujijua mpo wangapi? Mmepewa Chuo Kikuu cha Tanesco Morogoro mmeshindwa kuwaajili walimu (lecturers), shule zenu zote zimegeuka vyumba vya maduka nenda kaangalie Kariakoo na Sahurimoyo wanakouza used autospares. Kiwango cha elimu katika shule zenu za seminari ni cha chini sana hakuna mfano. Nadhani hata wewe utakubaliana na mimi kwenye hilo. Je unajua ni kwanini?

Naomba nikukumbushe kuwa Wadau wakubwa wa bars, guest houses, nyama choma, biashara ya kujiuza (machangudoa) huwa inapungua wakati wa mfungo wa ramadhani. Je unajua ni kwanini? Wateja na wadau wakubwa ni waislam. Kama huamini naomba ufanye utafiti kuanzia mfungo huu unaoanza Keshokutwa. Bar na Guest nyingi sana zinategemea kupunguza mauzo yao kuanzia keshokutwa.

Kwakifupi hata ile biashara ya kitimoto itashuka sana katika kipindi cha mwezi wa mfungo wa ramadhani. Funguka mkuu wangu.
 
Chama mnacho kipenda chama mnachokipigia kura, chama mnachokitetea kinapofanya mambo ya hovyo, chama kinachowatumia kufanikisha ushindi wake, chama kinachowaacha muendelee kuwa wajinga ili kiwatumie vizuri, chama kilichoweka kwenye ilani kuwa kitawapa kadhi na hakikuwapa CCM NDIYE ADUI YENU KAMA HAMJUI, NDICHO TENA KINAKATAA KUWEKA KIPENGERE HICHO CHA DINI. sisi tunasema hata wangeweka ukabila na ni kanisa gani, mkoa gani, unawake wangapi, unautajiri wa kiwango gani haina shida? Shida iko kwenu mlioacha kufanya mambo ya msingi kama kusoma na kusomesha mnahangaika na mambo yasiyo wasaidia, Mbona sioni mkihoji watoto wenu wako wangapi kwenye shule nzuri, mnahangaika kuvuna wakati wakulima na kupanda mnacheza MDUNDIKO na BAO! Ninyi ni watu wa AJABU kabisa
 
Hivi sensa ya nini kama kuna vitamburisho vya uraia? nadhani kama kila mtanzania akiwa na kitamburusho basi idadi ya vitamburisho ndiyo idadi ya watanzania.....watu wanapewa ulaji wa sensa ya bure tu..umasikini wetu huu hatuwezi muda gharama za sensa na vitamburisho.
 
ntabadili dini niitwe MAHESABWINAH ili ajira zikitoka nusu kwa nusu nizirambe
 
Jina peke yake linamtambulisha huyu ni mkristo na yule ni muislamu na ikitokea tofauti katika hili basi na idadi ya wale wanaosilimu au kuacha uislamu kuingia ukiristo au ukiristo kuingia uislamu orodha ipatikane ili ku-up date taarifa zao kitu ambacho ni vigumu sana.Ni busara kwa ndugu zetu waislamu hili lisiwe tatizo bali ni changamoto kwao kwani maisha si ajira pekee au nyazifa bali ni utii kwa mwenyezi mungu mwingi wa rehema na haya mengine ni majariwa yake allah-subhana wataalah.ASANTE.
 

Hatuna sababu ya kuiga kila kitu toka mataifa ya nje toka uhuru hatujafanya sensa na kipengele cha dini. Kuhusu kubaguliwa ni ujinga wa waislamu wenyewe mfano wamepewa jengo la chuo kikuu burena kafiri Mkapa kwa kuwahurumia na ujinga wao pale moro leo mwaka wa ngapi wanalumbana tu wakati wakati wakristo st.augustin, tumaini, na st. John na vingine kama teophilo kisanji wanaongeza campus kila mkoa wao kazi kulaumu tu, kila siku wanaonewa wanaonewa mara Necta ivunjwe na mengineyo, sisi tunasonga mbele wao wanadai mahakama ya kadhi, tofauti ya elimu katika ya waislamu na wakristo ni kama kuwashindanisha Wanyamwezi kwa elimu na mchagga, mhaya na Mnyakyusa, kama itakuja kuwa balanced waislamu na wakristo katika elimu basi baada ya karne kadhaa, hivyohivyo mchagga yuko kila mahali bila kujali dini yake!! utasema naye kapendelewa na nani wakati anauzika na kununulika kwa elimu yake? Endeleeni tu baada mahakama ya kadhi mtataka tena na wakristo wasichinje kama nilivyosikia hadithi hiyo katika eneo fulani hapa tz, Ila mkija kwangu juu ya kunizuia kuchinja hakikisheni mmeandika urithi kwanza kabla ya kunitokea na kunipangia sheria zenu nyumbani kwangu. Sensa ya dini hufanyika kwa wenye dini husika kutaka kujua idadi yao ili wakipanga malengo ya dini yao hasa kwenye suala la sadaka wajue kwa idadi yao wakichangishana elfu tanotano wanaweza kufikia lengo waliloweka kama kununua majamvi msikitini, Madufu,Majuzuu kuanzisha madrasa na mengineyo mengi tu. Sasa sheikh Ponda anataka kutuambia tukijua idadi ya waislamu na wakristo na sisi tusiokuwa na dini itaisaidia nini Tanzania kujua idadi hiyo? Vitu vingine ni vya kijinga kabisa, Sheikh angeanzisha mchango wa kujenga chuo kikuu kingine kwa umaarufu wake pesa ingetimia kwa muda mfupi tu na mimi pamoja na kuwa ni kafiri ningemchangia, lakini badala yake anapagawa kutaka kuanzisha fujo na utengano tu hapa Tz kwa taarifa yake na wapambe wake sensa itafanyika na hakuna atayegomea sensa kwani si waislamu wote wanadanganyika kwa malengo ya viongozi wachovu kama Ponda.
 
Mipango gani? kama si kutafuta vurugu na vyeo bila shule. Nendeni mkasome kwanza allah
 

Ndiyo maana tunawambia mwende shule kwanza.
 
Nahisi hujamuelewa mtoa hoja, sheikh ponda anasema keki ya serikali imekuwa ikipelekwa kwa dini moja sana kwa kusingizia kuwa wako wengi na ndo wamesoma, je ni kweli dini nyingine hawana wasomi na niwachache? basi tuweke kipengele cha dini tuujue ukweli, kwani ukiniuliza mm dini gani hapo aman itavunjikaje?
 
Tunataka sensa ndo ituambie sio wewe kilaza na takwimu zako za uchochoroni?
 
ili din za kuja na mali zna waarbu waafrca...udini wa nn jaman...mfano waarabu au wazungu wacngekuja ingekuwaje...2sibaguane kwa itikadi ya aina yoyote.. Waislamn dizain mnapenda kujbagua..whl rahc na serekal yote ya zanzbr ni waislam...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…