Umemsujudia unataka wengine wasujudu kwa kamungu kako.alafu unatangaza ujinga wa kiwango.IMEANDIKWA MSUJUDIE BWANA MUNGU WAKO UMUABUDU YEYE PEKE YAKE.Kwa Magufuli kila goti litapigwa.
Chadema wote watakusanyika na kusujudu na kutubu .
Umemsujudia unataka wengine wasujudu kwa kamungu kako.alafu unatangaza ujinga wa kiwango.IMEANDIKWA MSUJUDIE BWANA MUNGU WAKO UMUABUDU YEYE PEKE YAKE.Kwa Magufuli kila goti litapigwa.
Chadema wote watakusanyika na kusujudu na kutubu .
Basi tuseme kuwa wamekubaliana. JPM alimkubali Ponda na Ponda kamkubali JPM. Hapo tunasema ngoma drawHivi kati ya Magufuli na Sheikh Ponda nani kamkubali mwingine. Kwa uelewa wangu mheshimiwa raisi kamuunga mkono mpambanaji Sheikh Ponda na kawaumbua wanafk bakwata na wanaowaunga mkono. Wasisi wetu ni juu ya utekelezaji wa tamko hilo.
Duh! Hapa ndipo mnaponiachaga hoi. Kwani kupiga magoti ni kusujudu? Kwa Waislam kusujudu ni pale wanapoweka paji la Uso wao Ardhini. Sijajua kwa upande mwingine. Ila kule shuleni pia kulikuwa na adhabu ya kupiga magoti kuonesha unyenyekevu. Ina maana pale tulikuwa tunasujudu?Umemsujudia unataka wengine wasujudu kwa kamungu kako.alafu unatangaza ujinga wa kiwango.IMEANDIKWA MSUJUDIE BWANA MUNGU WAKO UMUABUDU YEYE PEKE YAKE.
Kuwa na kiasi hata ktk kujikomba na kujipendekeza. Kukufuru ni jambo haya hata kama ufanyapo unasifiwaWananchi hawana sababu ya kuandamana. Rais Magufuli ni msemaji wao
Ndio, kusujudu maana yake kunyenyekea. Endeleeni kukufuru sababu ya njaa. Ipo siku kipaumbele hakitakuwa tumbo, utaona taabu na shida nyingi sanaDuh! Hapa ndipo mnaponiachaga hoi. Kwani kupiga magoti ni kusujudu? Kwa Waislam kusujudu ni pale wanapoweka paji la Uso wao Ardhini. Sijajua kwa upande mwingine. Ila kule shuleni pia kulikuwa na adhabu ya kupiga magoti kuonesha unyenyekevu. Ina maana pale tulikuwa tunasujudu?
Kwa hiyo wewe unashinda JF kupost utumbo na kumsifia huyo jamaa kwa sababu uko vizuri na unafanya kazi ikulu eti?Ingekuwa kinyume ungeshinda JF kupost utumbo? Fanya kazi kwa bidii utafanikiwa
Kwani lini shehe Ponda alimkataa Magufuli,hapo ni kwamba Ponda anamtia moyo Magufuli kama Rais kuhakikisha dhulma inatoweka nchini.
huwezi kupewa hata ujumbe wa nyumba kumi kwa sababu huna taaluma! hujui sheria! hujui demokrasia wewe bendera fata upepo tuuIngekuwa kinyume ungeshinda JF kupost utumbo? Fanya kazi kwa bidii utafanikiwa