Sheikh Ponda: Hatujashinda shauri kwa rushwa wala hatukupewa fedha yoyote na taasisi yoyote

Sheikh Ponda: Hatujashinda shauri kwa rushwa wala hatukupewa fedha yoyote na taasisi yoyote

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,606
Sheikh Issa Ponda akijibu maswali ya Wanahabari hii leo Machi 12, 2026 katika uzinduzi wa Kitabu chenye tafsiri ya hukumu ya shauri namba 27603/2024 kati ya Waislamu 12 dhidi ya Serikali (RITA, Msajili wa Jumuiya za Kijamii kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali) na BAKWATA amesema hakuna taasisi yoyote ya Kikristo au mtu yeyote anaewasaidia kifedha kupambana na BAKWATA.


 
Kuna kulikuwa na madai kuwa kuna taasisi ya kikristo inawasaidia kupambana na BAKWATA!!, ni ipi hiyo?
 
Sasa kama kuna taasisi ya kikristo inayoshirikiana na waislam si ndiyo nzuri hiyo? Huo ni ushirikiano mzuri, hata BAKWATA nayo itakuwa na ushirika na taasisi fulani ya kikristo. Haina shida maadamu wote ni wananchi wa nchi moja isiyo na udini katika serikali yake
 
Back
Top Bottom